Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Featured Image

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa
pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama
{confess}
"Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya
dhambi kubwa sana."
Padri, "Endelea…"

"Bosi wangu aliniita nyumbani kwake, akaniambia
amegundua nimeiba shilingi millioni 100 kazini. Akasema
nisipozitoa atanipeleka polisi, sa kwa ukweli mi naogopa
kufungwa.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu,nikatoa bastola nikamuua….. Yesu atanisamehe?"

Padri: "Utasamehewa."
"Basi wakati nataka kuondoka nikasikia mlango
unafunguliwa kutazama, Loh! Mke wa bosi, alipoona
kilichotokea akasema anapiga polisi simu.
Kutazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua na yeye pia… Yesu atanisamehe hilo?"
Padri: "Utasamehewa."

Nikatoka nje, nikawasha gari niondoke, lakini mlinzi
akakataa kunifungulia, ati amesikia mlio wa
bastola. Nikaona ataniletea kizuizi huyu.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe?"
Padri:"Utasamehewa."

"Nikajifungulia geti mwenyewe nikaenda
nyumbani, wakati napanga kuja kuungama mtoto wa bosi
akabisha hodi, nikawaza mambo gani tena, akasema alirudi
nyumbani na kukuta yaliyotokea akanionesha diary ya
babake, inayoonesha nilikuwa na appointment naye
wakati nilipomuua. Nikamuuliza nani mwingine anayejua?
Akasema ameanzia kwangu kisha anaenda polisi.

Nikatazama huku na huku nikakuta tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe na hilo?"

Kimyaa….
"Padri yesu atanisamehe?"
kimya….

Jamaa akatazama kwenye confession booth padri
hayupo, lakini kwenye kona moja akaona kabati la nguo
za mapadri linatikisika. Kufungua akaona padri kajificha ndani anatetemeka huku akitokwa na jasho.

Jamaa, "Sasa baba mbona umekimbia?"
Padri kwa taabu akajibu, "Nilitazama huku na huku
nikagundua tuko wawili peke yetu……."

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Josephine (Guest) on July 20, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zulekha (Guest) on July 11, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 11, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on July 9, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Sarafina (Guest) on July 9, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Josephine Nduta (Guest) on July 1, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Diana Mumbua (Guest) on June 25, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

James Kimani (Guest) on June 18, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on June 1, 2024

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Lydia Mahiga (Guest) on May 29, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 21, 2024

πŸ˜‚πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on April 17, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Tenga (Guest) on March 28, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on February 20, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 31, 2024

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on January 26, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Monica Nyalandu (Guest) on January 23, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on January 10, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on December 29, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on December 25, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on November 27, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Robert Okello (Guest) on October 29, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Andrew Mahiga (Guest) on August 1, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on July 12, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joyce Aoko (Guest) on March 10, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on February 27, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Hassan (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Nyota (Guest) on February 16, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Samson Mahiga (Guest) on January 10, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Selemani (Guest) on December 23, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mrema (Guest) on December 14, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on October 2, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on September 23, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on September 21, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Linda Karimi (Guest) on September 19, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Joseph Mallya (Guest) on July 4, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mwanakhamis (Guest) on June 30, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alex Nyamweya (Guest) on June 24, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Nyerere (Guest) on June 6, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on May 29, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on May 26, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Edwin Ndambuki (Guest) on May 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on May 10, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Tambwe (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Benjamin Kibicho (Guest) on April 28, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on April 27, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Lydia Wanyama (Guest) on April 21, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Raha (Guest) on March 23, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Rabia (Guest) on March 16, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Warda (Guest) on March 4, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Robert Okello (Guest) on February 4, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Halima (Guest) on February 4, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joseph Kitine (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Brian Karanja (Guest) on December 28, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Miriam Mchome (Guest) on December 25, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Aoko (Guest) on December 24, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on December 11, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Mallya (Guest) on December 10, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

πŸ“– Explore More Articles