Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Featured Image

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa
pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama
{confess}
"Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya
dhambi kubwa sana."
Padri, "Endelea…"

"Bosi wangu aliniita nyumbani kwake, akaniambia
amegundua nimeiba shilingi millioni 100 kazini. Akasema
nisipozitoa atanipeleka polisi, sa kwa ukweli mi naogopa
kufungwa.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu,nikatoa bastola nikamuua….. Yesu atanisamehe?"

Padri: "Utasamehewa."
"Basi wakati nataka kuondoka nikasikia mlango
unafunguliwa kutazama, Loh! Mke wa bosi, alipoona
kilichotokea akasema anapiga polisi simu.
Kutazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua na yeye pia… Yesu atanisamehe hilo?"
Padri: "Utasamehewa."

Nikatoka nje, nikawasha gari niondoke, lakini mlinzi
akakataa kunifungulia, ati amesikia mlio wa
bastola. Nikaona ataniletea kizuizi huyu.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe?"
Padri:"Utasamehewa."

"Nikajifungulia geti mwenyewe nikaenda
nyumbani, wakati napanga kuja kuungama mtoto wa bosi
akabisha hodi, nikawaza mambo gani tena, akasema alirudi
nyumbani na kukuta yaliyotokea akanionesha diary ya
babake, inayoonesha nilikuwa na appointment naye
wakati nilipomuua. Nikamuuliza nani mwingine anayejua?
Akasema ameanzia kwangu kisha anaenda polisi.

Nikatazama huku na huku nikakuta tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe na hilo?"

Kimyaa….
"Padri yesu atanisamehe?"
kimya….

Jamaa akatazama kwenye confession booth padri
hayupo, lakini kwenye kona moja akaona kabati la nguo
za mapadri linatikisika. Kufungua akaona padri kajificha ndani anatetemeka huku akitokwa na jasho.

Jamaa, "Sasa baba mbona umekimbia?"
Padri kwa taabu akajibu, "Nilitazama huku na huku
nikagundua tuko wawili peke yetu……."

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Josephine (Guest) on July 20, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zulekha (Guest) on July 11, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 11, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on July 9, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Sarafina (Guest) on July 9, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Josephine Nduta (Guest) on July 1, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Diana Mumbua (Guest) on June 25, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

James Kimani (Guest) on June 18, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on June 1, 2024

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Lydia Mahiga (Guest) on May 29, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 21, 2024

πŸ˜‚πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on April 17, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Tenga (Guest) on March 28, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on February 20, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 31, 2024

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on January 26, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Monica Nyalandu (Guest) on January 23, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on January 10, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on December 29, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on December 25, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on November 27, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Robert Okello (Guest) on October 29, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Andrew Mahiga (Guest) on August 1, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on July 12, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joyce Aoko (Guest) on March 10, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on February 27, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Hassan (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Nyota (Guest) on February 16, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Samson Mahiga (Guest) on January 10, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Selemani (Guest) on December 23, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mrema (Guest) on December 14, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on October 2, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on September 23, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on September 21, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Linda Karimi (Guest) on September 19, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Joseph Mallya (Guest) on July 4, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mwanakhamis (Guest) on June 30, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alex Nyamweya (Guest) on June 24, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Nyerere (Guest) on June 6, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on May 29, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on May 26, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Edwin Ndambuki (Guest) on May 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on May 10, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Tambwe (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Benjamin Kibicho (Guest) on April 28, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on April 27, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Lydia Wanyama (Guest) on April 21, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Raha (Guest) on March 23, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Rabia (Guest) on March 16, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Warda (Guest) on March 4, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Robert Okello (Guest) on February 4, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Halima (Guest) on February 4, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joseph Kitine (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Brian Karanja (Guest) on December 28, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Miriam Mchome (Guest) on December 25, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Aoko (Guest) on December 24, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on December 11, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Mallya (Guest) on December 10, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About