Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?

HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card inamaanisha mchezaji awache kucheza na atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light! Yellow- Ilani na Red - Simama
HUSBAND: Yeah yeah swity! Ndio hivyo.
WIFE: Na je Green Card??
HUSBAND: Aaaah! Hakuna kitu kama hicho.

WIFE: Nataka Arsenal ishinde world cup.
HUSBAND: [kimya]
WIFE: Ni nani yule mzee anakaa kama Mr. Bean??
HUSBAND: Yeees swity, yule ni kocha wa Arsenal, anaitwa Arsene Wenger.
WIFE: Oooooh! inamaanisha yule kocha mwengine ni Chelsea Wenger??
HUSBAND: [Kabadilisha channel]

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Francis Njeru (Guest) on July 4, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on June 26, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Guest (Guest) on December 31, 2025

ndw

Jane Muthui (Guest) on May 23, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Abdullah (Guest) on May 12, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joseph Mallya (Guest) on April 28, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on April 15, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Grace Minja (Guest) on March 18, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Warda (Guest) on March 13, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Simon Kiprono (Guest) on March 11, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on February 25, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samuel Were (Guest) on January 21, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Susan Wangari (Guest) on January 8, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Dorothy Nkya (Guest) on December 10, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on November 26, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Sarah Karani (Guest) on November 26, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on November 22, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on October 22, 2023

😊🀣πŸ”₯

Violet Mumo (Guest) on October 1, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mashaka (Guest) on September 28, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Tabitha Okumu (Guest) on September 28, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Stephen Malecela (Guest) on September 1, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Kenneth Murithi (Guest) on August 20, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on August 19, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Zainab (Guest) on August 15, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

John Kamande (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on July 31, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Anna Mahiga (Guest) on May 14, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 12, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Alex Nyamweya (Guest) on May 4, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Abdillah (Guest) on May 4, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Josephine Nekesa (Guest) on April 20, 2023

🀣πŸ”₯😊

Raphael Okoth (Guest) on March 25, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on March 19, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on February 11, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Anna Malela (Guest) on February 3, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Diana Mallya (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Samson Tibaijuka (Guest) on January 8, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Sharon Kibiru (Guest) on December 31, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine (Guest) on December 26, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

David Musyoka (Guest) on December 19, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

David Ochieng (Guest) on December 6, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on November 27, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

John Lissu (Guest) on November 27, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on November 27, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Betty Kimaro (Guest) on November 26, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on November 6, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Biashara (Guest) on October 26, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Irene Akoth (Guest) on October 24, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Kevin Maina (Guest) on October 10, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on October 3, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Nancy Kabura (Guest) on October 3, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on August 30, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Kevin Maina (Guest) on July 31, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on July 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jabir (Guest) on July 13, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Kimario (Guest) on July 11, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Grace Wairimu (Guest) on June 25, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Alex Nyamweya (Guest) on June 19, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on May 20, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Related Posts

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

πŸ“– Explore More Articles