Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Featured Image

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo simu umenunua Bei gani?

Kwakuwa natoaga sadaka kidogo,na ZAKA ndo sijawahi kutoa,Nikamjibu nimenunua JANA,ELFU 50, akanipa LAKI MOJA,nikanunue mbili,yake na ya mke wake. Sa najaribu kumuuliza Mungu,kwanini kaamua kuniadhibu mbele ya mchungaji bila hata kunionya!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kijakazi (Guest) on July 20, 2024

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Charles Mboje (Guest) on July 1, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Samson Tibaijuka (Guest) on May 22, 2024

Asante Ackyshine

Sarah Achieng (Guest) on May 19, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on May 16, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Salma (Guest) on May 3, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Omar (Guest) on May 3, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Victor Sokoine (Guest) on March 30, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on March 25, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khalifa (Guest) on March 25, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Kijakazi (Guest) on March 19, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Anna Mchome (Guest) on March 10, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Ibrahim (Guest) on March 2, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Daniel Obura (Guest) on February 19, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on February 12, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on February 4, 2024

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

James Kawawa (Guest) on January 30, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Frank Macha (Guest) on January 7, 2024

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Fadhili (Guest) on December 6, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Grace Wairimu (Guest) on November 20, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Yahya (Guest) on November 19, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Stephen Mushi (Guest) on November 8, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on November 3, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Saidi (Guest) on October 22, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Muslima (Guest) on October 8, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Kevin Maina (Guest) on October 8, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

John Malisa (Guest) on October 6, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on September 28, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kidata (Guest) on September 27, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Paul Kamau (Guest) on August 27, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on August 9, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Abdillah (Guest) on July 1, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mhina (Guest) on June 10, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Muslima (Guest) on May 27, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Zakia (Guest) on April 29, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Ruth Wanjiku (Guest) on April 22, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on April 12, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Victor Malima (Guest) on April 11, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Zainab (Guest) on March 29, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on January 29, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

John Lissu (Guest) on January 17, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 5, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mercy Atieno (Guest) on December 19, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on December 18, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Elizabeth Malima (Guest) on November 13, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Francis Njeru (Guest) on November 4, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on October 7, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Peter Tibaijuka (Guest) on September 19, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on September 10, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Jabir (Guest) on August 15, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Samuel Omondi (Guest) on August 1, 2022

😊🀣πŸ”₯

James Kawawa (Guest) on July 27, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Umi (Guest) on July 26, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Sarah Mbise (Guest) on July 7, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on July 6, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Shabani (Guest) on June 23, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Stephen Malecela (Guest) on June 3, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mzee (Guest) on May 19, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Related Posts

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About