Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

Mkulima: Mama yako?

Mtoto: Nae kaenda mjini na baba.

Mkulima: Kaka yako Howard yupo?

Mtoto: Nae hayupo, wote yeye, baba na mama wamekwenda mjini. Kwani una shida gani? Kama kuna kitu unahitaji niambie maana nimeachiwa funguo na najua vifaa vinapowekwa.
Mzee akawaza kidogo halafu akasema: Kwa kweli nilitaka kuongea na baba, mama au kaka yako kwa kuwa kaka yako amempa mimba binti yangu.

Mtoto akafikiria kidogo halafu akasema: Kusema ukweli itabidi umsubirie baba, ila kwa kukusaidia ni kuwa baba hulipisha shilingi laki moja kwa kupandisha dume la ng'ombe na elfu hamsini kwa beberu. Ila sijui baba hutoza shilingi ngapi kwa Howard akifanikiwa kutia mimba.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Mbithe (Guest) on July 6, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Kassim (Guest) on June 28, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Sofia (Guest) on May 29, 2024

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 18, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Halimah (Guest) on May 5, 2024

🀣 Hii imewaka moto!

Joyce Mussa (Guest) on May 4, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on April 24, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on April 5, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 18, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alice Mrema (Guest) on March 13, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on March 2, 2024

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Leila (Guest) on February 20, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Agnes Sumaye (Guest) on January 20, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 2, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on December 21, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Grace Mligo (Guest) on December 10, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on December 3, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Dorothy Nkya (Guest) on November 22, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Nancy Kawawa (Guest) on October 29, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ruth Wanjiku (Guest) on September 22, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Moses Kipkemboi (Guest) on August 21, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Guest (Guest) on August 6, 2025

Pja

Mary Sokoine (Guest) on July 17, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on July 8, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on June 29, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on June 28, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Alice Mwikali (Guest) on May 10, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Tabitha Okumu (Guest) on April 28, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Baridi (Guest) on April 26, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Yusra (Guest) on April 25, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Monica Adhiambo (Guest) on April 1, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Musyoka (Guest) on March 31, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on March 14, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Kidata (Guest) on February 3, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 28, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Wilson Ombati (Guest) on January 16, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on January 5, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on January 2, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on December 27, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Ali (Guest) on December 21, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on December 20, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Sarah Mbise (Guest) on December 18, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mtumwa (Guest) on November 18, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Anna Malela (Guest) on October 26, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on October 19, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Peter Otieno (Guest) on October 18, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maulid (Guest) on September 8, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mariam Hassan (Guest) on September 5, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on September 3, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Amina (Guest) on August 21, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on August 5, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 18, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on July 14, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on June 24, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on May 10, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on May 8, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kiwanga (Guest) on April 25, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 24, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 16, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Related Posts

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More