Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mtoa huduma wa afya anaweza kukataa kutibu?

Featured Image

Siyo haki kwa mtoa huduma wa afya kukataa kumtibu.
Kama kijana, una haki sawa ya kutibiwa kama vile mtu yoyote.
Iwapo mtoa huduma anakataa kukutibu wewe, jaribu kuzungumza
naye kuhusu jambo hilo na umuulize sababu za kukataa kukutibu.
Iwapo yeye anashikilia uamuzi wa kutokutibu basi amua ama
unatafuta mhudumu mwingine au zungumza na mkubwa wake
kuhusu tatizo lako. Ni jambo la maana kuzungumza na rafiki
yako au mwone mtu unayemwamini akusaidie kutatua tatizo
lako.

Vituo vingi vya Umma na vya binafsi vya huduma za afya
vinajitahidi kutoa huduma rafiki kwa vijana. Tafuta kituo cha
karibu au shirika linalotoa huduma za afya ya uzazi. Kumbuka,
haki ya afya ambayo pia inabeba haki ya huduma ya afya ya
uzazi, Kimataifa inatambuliwa kupitia ICESCR4 na pia imetiwa
saini na kuridhiwa hapa Tanzania. Hivyo usisite kuulizia huduma
kama hii.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Jinsi ya Kupata Msichana Mzuri na Sifa za Ndani za Thamani

Jinsi ya Kupata Msichana Mzuri na Sifa za Ndani za Thamani

Jinsi ya Kupata Msichana Mzuri na Sifa za Ndani za Thamani

Kupata msichana mzuri na sifa z... Read More

Kujamiiana au kufanya mapenzi salama

Kujamiiana au kufanya mapenzi salama

Mapenzi salama ni yale yanayofanyika bila wasiwasi wa kupata mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zinaa... Read More
Jinsi ya Kuvutia Wasichana: Vidokezo vya Kuchumbiana na Wasichana

Jinsi ya Kuvutia Wasichana: Vidokezo vya Kuchumbiana na Wasichana

Jambo rafiki yangu! Katika maisha ya kila siku, tunakutana na wasichana wengi ambao tunapenda kuw... Read More

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Uoga kabla ya Kufanya Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Uoga kabla ya Kufanya Ngono?

Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Uoga Kabla ya Kufanya Ngono 🌟

Karibu kwenye makala hii... Read More

Je, inachukua muda gani tangu mtu aambukizwe na VVU hadi vionekane kwenye damu?

Je, inachukua muda gani tangu mtu aambukizwe na VVU hadi vionekane kwenye damu?

Inakadiriwa huchukua miezi mitatu tangu kuambukizwa na VVU hadi i virusi hivyo vionekane kwenye d... Read More

Kufikia mshindo au kufika kileleni kwa mwanamke na mwanamme wakati wa kufanya mapenzi

Kufikia mshindo au kufika kileleni kwa mwanamke na mwanamme wakati wa kufanya mapenzi

Je, mwanamke anaweza kufikia mshindo?

Ndiyo, mwanamke anaweza kufikia mshindo wakati wa kuj... Read More
Je, kuna tofauti ya kiumri katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti ya kiumri katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti ya kiumri katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio! Kuna tofauti kubwa sana kati ya wa... Read More

Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya afya ya uzazi katika uhusiano?

Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya afya ya uzazi katika uhusiano?

Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya afya ya uzazi katika uhusiano? Jibu ni ndio, kwa kweli! M... Read More

Je, mvulana afanye nini ili kuzuia ndoto nyevu?

Je, mvulana afanye nini ili kuzuia ndoto nyevu?

Ndoto nyevu ni kitu kinachowatokea vijana wakiwa usingizini. Haiwezekani kuzuiwa kwa sababu uko usin... Read More
Niende wapi kupima kama nina Virusi vya UKIMWI?

Niende wapi kupima kama nina Virusi vya UKIMWI?

Vituo vyenye utaalamu na katika hospitali i au Taasisis kama vile Shirika la Amref au CCBRT wana ... Read More

Albino anaathirikaje na unyanyapaa na ubaguzi katika jamii?

Albino anaathirikaje na unyanyapaa na ubaguzi katika jamii?

Watu wengi huwaona Albino kama watu tofauti na watu wengine
na kuwakwepa, wanaweza hata kuba... Read More

Je, madhara gani yatawapata wasichana na wavulana wanaojamiiana kwa kutumia sehemu ya haja kubwa?

Je, madhara gani yatawapata wasichana na wavulana wanaojamiiana kwa kutumia sehemu ya haja kubwa?

Tunasema ngono kutumia njia ya haja kubwa pale ambapo uume uliodinda unaingizwa kwenye njia ya haja ... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About