Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Je, serikali imechukua hatua gani kudhibiti hali hii ya mauaji ya Albino? Tutaishi vipi?

Featured Image

Kifungu cha 14 cha Katiba ya Tanzania kinaeleza kwa ufasaha
kuwa: โ€œKila mtu ana haki ya kuishi na kulindwa utu wake katika
jamii kwa misingi ya sheria.โ€ Hata Rais Kikwete katika hotuba
zake kwa Taifa za kila mwezi amewahi kukemea mauaji haya
mwaka 2008 kwa kusema; โ€œ mauaji haya ni aibu na fedheha
kubwa kwa jamii yetuโ€ pia โ€œukatili usio na sababuโ€ na akaendelea
kusema, โ€œni lazima yakomeshwe mara moja.โ€
Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na taasisi na asasi za
kijamii wanaendelea kutoa mafunzo, taarifa na mazingira
yatakayowawezesha Albino kuishi maisha bora na yenye
mafanikio katika jamii.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Kupasuka kwa kondomu

Kupasuka kwa kondomu

Kupasuka kwa kondomu mara nyingi kunasababishwa na kondomu kutowekwa vizuri uumeni. Ni muhimu san... Read More

Je, watu wanapendelea kutumia muda mwingi katika mchezo wa hatua wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kutumia muda mwingi katika mchezo wa hatua wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Habari yako rafiki, leo tutajadili kuhusu swali linaloulizwa sana kuhusu watu kwa nini wanapendel... Read More

Jinsi ya Kukabiliana na Hali ya Kujihisi Kukataliwa kuhusu Ngono

Jinsi ya Kukabiliana na Hali ya Kujihisi Kukataliwa kuhusu Ngono

Jinsi ya Kukabiliana na Hali ya Kujihisi Kukataliwa kuhusu Ngono ๐ŸŒŸ

Karibu kwenye makala... Read More

Je, muda wa kufanya ngono/kufanya mapenzi ni muhimu?

Je, muda wa kufanya ngono/kufanya mapenzi ni muhimu?

Je, muda wa kufanya ngono/kufanya mapenzi ni muhimu? Hili ni swali ambalo huwa linawasumbua wapen... Read More

Je, ni matatizo yapi yanayotokana na ujauzito katika umri mkubwa?

Je, ni matatizo yapi yanayotokana na ujauzito katika umri mkubwa?

Kwa wanawake wenye miaka zaidi ya 35 uwezekano wa kupata matatizo ya kiafya wakati wa ujauzito au... Read More

Je, kuna tofauti za kimwili katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kimwili katika ngono/kufanya mapenzi?

Mapenzi ni sehemu muhimu katika maisha ya binadamu na inaweza kuwa njia ya kujifunza, kufurahia, ... Read More

Je, ni kweli kwamba kufanya ngono na bikira inaponyesha maambukizi?

Je, ni kweli kwamba kufanya ngono na bikira inaponyesha maambukizi?

Hapana, huwezi kupona Virusi vya UKIMWI au UKIMWI kwa kufanya ngono na bikira. Hakuna tiba ya maa... Read More

Utoaji wa zawadi kwa kubadilishana na kujamiiana

Utoaji wa zawadi kwa kubadilishana na kujamiiana

Kutoa zawadi kwa mtu kwa kubadilishana ili kujamiiana
ni unyanyasaji mbaya. Iwapo mpokeaji w... Read More

Njia za Kujua Kama Msichana Anavutiwa na Wewe

Njia za Kujua Kama Msichana Anavutiwa na Wewe

  1. Macho ya msichana Macho ya msichana ni njia moja wapo ya kujua iwapo msichana anavutiwa... Read More

Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu ukuaji wa kingono/kufanya mapenzi wa mwenza wako?

Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu ukuaji wa kingono/kufanya mapenzi wa mwenza wako?

Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu ukuaji wa kingono/kufanya mapenzi wa mwenza wa... Read More

Nimwambie nini mtu anayejaribu kunishawishi nijihusishe na makundi ya watu wanaokunywa pombe na wavutaji sigara?

Nimwambie nini mtu anayejaribu kunishawishi nijihusishe na makundi ya watu wanaokunywa pombe na wavutaji sigara?

Kama umeamua kutovuta sigara wala kunywa pombe ni uamuzi
mzuri sana na wa kiafya. Ni haki ya... Read More

Kuna fikra kuwa Albino ni watu wa kawaida je, kisayansi hii ni kweli?

Kuna fikra kuwa Albino ni watu wa kawaida je, kisayansi hii ni kweli?

Hii ni kweli kabisa. Watu wanaoishi na ualbino ni watu wa
kawaida kama binadamu wengine wote... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About