Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Je, zipo sheria zinazolinda watu wenye ulemavu hapa Tanzania?

Featured Image

Ndiyo, zipo sheria
hapa T a n z a n i a
z i n a z o w a l i n d a
watu wenye
ulemavu. Tanzania
ilitia saini na
kuridhia mkataba
wa kimataifa wa
ulinzi, haki na
usawa kwa watu
wenye ulemavu
mwaka 2006. Kwa
kitendo hicho
cha kuridhia
mkataba huo wa
kimataifa Tanzania
imeonyesha nia
yake ya kuwalinda
na kudumisha
haki za watu
wenye ulemavu.
Hata katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka
19772 inakataza ubaguzi wa aina yoyote kwa watu wenye
ulemavu.
Zipo sheria nyingi zinazolinda haki na usawa kwa watu wenye
ulemavu ambazo zinahusika na sekta mbalimbali. Kwa mfano;
elimu na mafunzo, ajira3, matunzo4 na ustawi5 kwa ujumla. Ipo
pia sera ya Taifa kuhusu ulemavu ya mwaka 20046. Sera hii
imeweka mazingira muafaka kwa watu wenye ulemavu kupata
haki sawa katika maendeleo ya kijamii, ikiwa ni pamoja na
kupata huduma na mahitaji ya msingi kutoka katika jamii.


Sheria zinazolinda haki za Albino

Hakuna sheria mahususi inayowalenga watu wanaoishi na ualbino
hapa Tanzaina. Ingawaje haki za msingi za Albino zinalindwa
chini ya Katiba
ya nchi pamoja
na Sheria
z i n a z o h u s i k a
na sekta
m b a l i m b a l i .
Sheria hizi
zinakataza na
kukemea aina
zote za ubaguzi
kwa misingi ya;
rangi, kabila,
ulemavu na
kadhalika.
Sera ya Taifa ya ulemavu inabainisha hali ya ulemavu kuwa ni,
โ€œkutokuwa au kupungukiwa na uwezo wa kushiriki kwa usawa
katika shughuli za kawaida za kijamii kutokana na sababu
za mapungufu ya kimwili, akili au kijamiiโ€. Sera hii inatoa
mwongozo wa kutolewa kwa haki na fursa sawa kwa walemavu
kupata mambo na huduma za msingi kama; elimu, taarifa, ajira,
matunzo, huduma za afya, kumudu na kufikia huduma muhimu.
Katika siku za karibuni kumeongezeka vitendo vya kikatili dhidi
ya Albino ambavyo ni pamoja na mauaji ya kikatili na kukatwa
viungo kutokana na imani za kishirikina. Watu wenye ualbino
wanalindwa kisheria kutokana na vitendo hivi kwa kupitia
sheria zilizopo za makosa ya jinai.

Serikali pia imechukua hatua za kudhibiti hali hii isiendelee
kutokea ikiwa ni pamoja na kuanza kuwaandikisha rasmi
(kufanya sensa) watu wenye ualbino, na pia kuanzishwa
kwa ulinzi kwa Albino kupitia jeshi la polisi na jamii kwa ujumla,
kwa mfano; watoto Albino wanapokwenda shule.
Suala la Albino limeendelea kupewa umuhimu mkubwa kitaifa,
ikiwa ni pamoja na mjadala wa kitaifa. Mfano; ujumbe wa mbio
za Mwenge wa Uhuru wa mwaka 2009 ulilenga kuhamasisha
jamii kuhusu mauaji na vitendo vya kikatili dhidi ya Albino.
Mauaji na vitendo vya kikatili dhidi ya Albino vinavyotokea
sasa hivi pia vimepelekea serikali kuchukua hatua na kuongeza
ulinzi ili kulinda haki za Albino kwa mfano; zimeundwa
mahakama maalumu za kusikiliza makosa hayo ili kuharakisha
upatikanaji wa haki kwa wahusika. Mpaka sasa watuhumiwa
saba wa mauaji ya Albino wamekutwa na hatia na kuhukumiwa
kifo kwa kunyongwa.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, kuna dawa zozote za kutibu magonjwa ya zinaa?

Je, kuna dawa zozote za kutibu magonjwa ya zinaa?

Magonjwa mengi ya zinaa yana dawa za kutibu, kwa mfano: kisonono, kaswende, klamdia, kankroidi au... Read More

Mwanamume au mvulana anaweza kubakwa?

Mwanamume au mvulana anaweza kubakwa?

Ndiyo, mtu yoyote anayelazimishwa
kujamiina atakuwa
amebakwa, haijalishi kama
mtu ... Read More

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Ujasiri kuhusu Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Ujasiri kuhusu Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Ujasiri kuhusu Ngono? ๐Ÿ˜Š

Karibu kwenye makala h... Read More

Je, serikali imechukua hatua gani kudhibiti hali hii ya mauaji ya Albino? Tutaishi vipi?

Je, serikali imechukua hatua gani kudhibiti hali hii ya mauaji ya Albino? Tutaishi vipi?

Kifungu cha 14 cha Katiba ya Tanzania kinaeleza kwa ufasaha
kuwa: โ€œKila mtu ana haki ya ku... Read More

Je, Uvutaji wa sigara unafurahisha na kuchangamsha?

Je, Uvutaji wa sigara unafurahisha na kuchangamsha?

Ndiyo, lakini ni mwanzo tu na kwa muda mfupi; hii ni kwa
sababu mwanzoni nikotini iliyomo ka... Read More

Jinsi ya Kuwa na Tarehe ya Kusisimua na Msichana Wako

Jinsi ya Kuwa na Tarehe ya Kusisimua na Msichana Wako

Tarehe ya kusisimua inaweza kuwa ngumu kupanga, hasa ikiwa unataka kumpendeza mpenzi wako. Lakini... Read More

Je, mama anayenyonyesha mtoto anaweza kupata mimba?

Je, mama anayenyonyesha mtoto anaweza kupata mimba?

Katika miezi sita ya mwanzo baada ya kujifungua, mwanamke anayenyonyesha mtoto anapata kinga ya m... Read More

Jinsi ya Kuanza Mazungumzo na Msichana Unayempenda

Jinsi ya Kuanza Mazungumzo na Msichana Unayempenda

Kuanza mazungumzo na msichana unayempenda inaweza kuwa vigumu, lakini pia inaweza kuwa jambo la k... Read More

Je, ni madhara gani atapata mama mjamzito endapo atajamiiana na mwenzi wake?

Je, ni madhara gani atapata mama mjamzito endapo atajamiiana na mwenzi wake?

Kama kati ya mwanamke na mwanaume hakuna mwenye magonjwa ya zinaa, hakuna madhara yoyote kwa mwan... Read More

Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Hatia Baada ya Kufanya Ngono

Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Hatia Baada ya Kufanya Ngono

Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Hatia Baada ya Kufanya Ngono

Karibu vijana wapendwa! Leo,... Read More

Je, kuna umuhimu wa kujadili matakwa na matarajio yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako?

Je, kuna umuhimu wa kujadili matakwa na matarajio yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako?

Kama wapenzi, kujadili matakwa na matarajio yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako ni jambo... Read More

Kufikia mshindo au kufika kileleni kwa mwanamke na mwanamme wakati wa kufanya mapenzi

Kufikia mshindo au kufika kileleni kwa mwanamke na mwanamme wakati wa kufanya mapenzi

Je, mwanamke anaweza kufikia mshindo?

Ndiyo, mwanamke anaweza kufikia mshindo wakati wa kuj... Read More
๐Ÿ“– Explore More Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About