Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Je, zipo sheria zinazolinda watu wenye ulemavu hapa Tanzania?

Featured Image

Ndiyo, zipo sheria
hapa T a n z a n i a
z i n a z o w a l i n d a
watu wenye
ulemavu. Tanzania
ilitia saini na
kuridhia mkataba
wa kimataifa wa
ulinzi, haki na
usawa kwa watu
wenye ulemavu
mwaka 2006. Kwa
kitendo hicho
cha kuridhia
mkataba huo wa
kimataifa Tanzania
imeonyesha nia
yake ya kuwalinda
na kudumisha
haki za watu
wenye ulemavu.
Hata katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka
19772 inakataza ubaguzi wa aina yoyote kwa watu wenye
ulemavu.
Zipo sheria nyingi zinazolinda haki na usawa kwa watu wenye
ulemavu ambazo zinahusika na sekta mbalimbali. Kwa mfano;
elimu na mafunzo, ajira3, matunzo4 na ustawi5 kwa ujumla. Ipo
pia sera ya Taifa kuhusu ulemavu ya mwaka 20046. Sera hii
imeweka mazingira muafaka kwa watu wenye ulemavu kupata
haki sawa katika maendeleo ya kijamii, ikiwa ni pamoja na
kupata huduma na mahitaji ya msingi kutoka katika jamii.


Sheria zinazolinda haki za Albino

Hakuna sheria mahususi inayowalenga watu wanaoishi na ualbino
hapa Tanzaina. Ingawaje haki za msingi za Albino zinalindwa
chini ya Katiba
ya nchi pamoja
na Sheria
z i n a z o h u s i k a
na sekta
m b a l i m b a l i .
Sheria hizi
zinakataza na
kukemea aina
zote za ubaguzi
kwa misingi ya;
rangi, kabila,
ulemavu na
kadhalika.
Sera ya Taifa ya ulemavu inabainisha hali ya ulemavu kuwa ni,
โ€œkutokuwa au kupungukiwa na uwezo wa kushiriki kwa usawa
katika shughuli za kawaida za kijamii kutokana na sababu
za mapungufu ya kimwili, akili au kijamiiโ€. Sera hii inatoa
mwongozo wa kutolewa kwa haki na fursa sawa kwa walemavu
kupata mambo na huduma za msingi kama; elimu, taarifa, ajira,
matunzo, huduma za afya, kumudu na kufikia huduma muhimu.
Katika siku za karibuni kumeongezeka vitendo vya kikatili dhidi
ya Albino ambavyo ni pamoja na mauaji ya kikatili na kukatwa
viungo kutokana na imani za kishirikina. Watu wenye ualbino
wanalindwa kisheria kutokana na vitendo hivi kwa kupitia
sheria zilizopo za makosa ya jinai.

Serikali pia imechukua hatua za kudhibiti hali hii isiendelee
kutokea ikiwa ni pamoja na kuanza kuwaandikisha rasmi
(kufanya sensa) watu wenye ualbino, na pia kuanzishwa
kwa ulinzi kwa Albino kupitia jeshi la polisi na jamii kwa ujumla,
kwa mfano; watoto Albino wanapokwenda shule.
Suala la Albino limeendelea kupewa umuhimu mkubwa kitaifa,
ikiwa ni pamoja na mjadala wa kitaifa. Mfano; ujumbe wa mbio
za Mwenge wa Uhuru wa mwaka 2009 ulilenga kuhamasisha
jamii kuhusu mauaji na vitendo vya kikatili dhidi ya Albino.
Mauaji na vitendo vya kikatili dhidi ya Albino vinavyotokea
sasa hivi pia vimepelekea serikali kuchukua hatua na kuongeza
ulinzi ili kulinda haki za Albino kwa mfano; zimeundwa
mahakama maalumu za kusikiliza makosa hayo ili kuharakisha
upatikanaji wa haki kwa wahusika. Mpaka sasa watuhumiwa
saba wa mauaji ya Albino wamekutwa na hatia na kuhukumiwa
kifo kwa kunyongwa.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Vidonge vya kuzuia mimba vinasababisha vidonda vya tumbo?

Vidonge vya kuzuia mimba vinasababisha vidonda vya tumbo?

Wanawake wengine wanapata vidonda vya tumbo, lakini haya hayana uhusiano na vidonge vya kuzuia mi... Read More

Watu wanaoua Albino wanapata faida gani?

Watu wanaoua Albino wanapata faida gani?

Hakuna uchunguzi wa kisayansi ambao umeonyesha faida
yoyote inayopatikana kwa kuua Albino.Read More

Msichana akijamiiana mara moja tu anaweza akapata mimba?

Msichana akijamiiana mara moja tu anaweza akapata mimba?

Msichana anaweza kupata mimba akijamii ana mara moja tu. Inategemea na mzunguko wa hedhi. Kama nd... Read More

Tofauti ya VVU na UKIMWI

Tofauti ya VVU na UKIMWI

Neno VVU ni i virusi au vijidudu vinavyosababisha ugonjwa wa UKIMWI. Neno hili kwa lugha ya Kii nger... Read More
Je, watu wanaoishi na hali ya ualbino wanaweza kuzaa watoto bila matatizo?

Je, watu wanaoishi na hali ya ualbino wanaweza kuzaa watoto bila matatizo?

Ulemavu wa watu wanaoishi na ualbino hauingiliani na uwezo
wa kuweza kuzaa. Tuelewe kwamba u... Read More

Je , vipimo vya Virusi vya UKIMWI vinasema ukweli?

Je , vipimo vya Virusi vya UKIMWI vinasema ukweli?

Uwezekano wa kupata majibu ya uwongo ni mdogo sana, isipokuwa tu kama vipimo vitafanyika kipindi ... Read More

Kwa nini wasichana wakiingia utu uzima damu zinaanza kutoka kwenye uke?

Kwa nini wasichana wakiingia utu uzima damu zinaanza kutoka kwenye uke?

Kutoka damu (hedhi) kwa mara ya kwanza kunaitwa kuvunja ungo na hii ni dalili ya mtoto wa kike kuing... Read More
Je, Ni Sahihi Kufanya Mapenzi na Mpenzi Wangu wa Shule?

Je, Ni Sahihi Kufanya Mapenzi na Mpenzi Wangu wa Shule?

Je, ni sahihi kufanya mapenzi na mpenzi wangu wa shule? ๐Ÿค”

Habari vyote vijana! Leo tuta... Read More

Je, kuna umuhimu wa kujadili matumizi ya madawa ya kuongeza nguvu kwenye ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna umuhimu wa kujadili matumizi ya madawa ya kuongeza nguvu kwenye ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna umuhimu wa kujadili matumizi ya madawa ya kuongeza nguvu kwenye ngono/kufanya mapenzi? B... Read More

Kwa nini jamii inatuchukia sisi Albino?

Kwa nini jamii inatuchukia sisi Albino?

Siyo watu wote katika jamii wanawachukia au kuwatenga Albino.
Wazazi, ndugu zenu, rafiki zen... Read More

Kwa nini ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu?

Kwa nini ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu?

Kwa nini ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu? ๐ŸŒธ

Asante kwa kujiunga nami katika mak... Read More

Je, ni kweli ukinywa maziwa baada ya kuvuta sigara huwezi kudhurika?

Je, ni kweli ukinywa maziwa baada ya kuvuta sigara huwezi kudhurika?

Hapana. Hii si kweli kwa sababu maziwa hayawezi kuondoa
uharibifu uliosababishwa na nikotini... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About