Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Featured Image

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?
JAMAA: Ndio, kamba lakini kule mwisho kulikuwa kumefungwa ng'ombe
PADRI: Kwa hiyo uliiba ng'ombe?
JAMAA: Kiukweli nilikuwa nina lengo la kuiba kamba, kwa bahati mbaya mwisho kulikuwa na ng'ombe
PADRI: Mi naona mueleze Mungu direct, mi sikuelewi kabisaaa

πŸ™ˆπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‚πŸ™Š

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Patrick Akech (Guest) on February 9, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on January 24, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Majaliwa (Guest) on January 13, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Omar (Guest) on January 12, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Zakia (Guest) on December 26, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Esther Nyambura (Guest) on December 18, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Omar (Guest) on November 22, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Stephen Amollo (Guest) on November 15, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Nancy Komba (Guest) on November 6, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on September 26, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on September 16, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Chum (Guest) on September 10, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Victor Mwalimu (Guest) on September 10, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Ochieng (Guest) on August 23, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Patrick Kidata (Guest) on August 8, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Faith Kariuki (Guest) on August 5, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on July 29, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on July 29, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Diana Mallya (Guest) on July 18, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on July 7, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on June 28, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mchawi (Guest) on June 21, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Moses Mwita (Guest) on June 4, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Betty Akinyi (Guest) on May 28, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on May 12, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on May 6, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mhina (Guest) on April 11, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Josephine Nduta (Guest) on April 5, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on March 15, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Benjamin Masanja (Guest) on March 7, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on February 13, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Robert Okello (Guest) on February 12, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on February 7, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on February 2, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Lydia Mutheu (Guest) on January 18, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Wairimu (Guest) on January 13, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Edward Chepkoech (Guest) on December 13, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on November 15, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Victor Sokoine (Guest) on November 7, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Halima (Guest) on October 4, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on September 24, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Edward Chepkoech (Guest) on September 8, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on September 4, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Halimah (Guest) on September 1, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on August 11, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on August 10, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on August 6, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mwalimu (Guest) on July 29, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Richard Mulwa (Guest) on July 14, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Edward Lowassa (Guest) on June 20, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Athumani (Guest) on June 11, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Sokoine (Guest) on April 27, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Bakari (Guest) on April 9, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 8, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Samson Mahiga (Guest) on April 7, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Related Posts

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Binti: Hallow mpenzi, Mambo