Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Featured Image

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma barua
Ikisema yan.mwanangu tumapata shida maana shamba halijalimwa na jatujii litalimwaje na msimu ndio huo nataman.ungekuwepo ningepata msaada wa kulimiwa hili shamba

Yule kijana alijibu tafadhal baba usilime hilo shamba maana pesa zote nilizo ibwa nimeficha.huko

Kwakuwa barua zote laxima zipite kwa mkuu wa gereza ndio xiende kwa muhusika kesho yake mzee alikuwa shamba lote limelimwaa na polisi

Akatuma ujumbe tena yule kijana
Nashukulu umepata msaada sasa nazan unaweza ukaendelea kupanda mazao shamban.kwetuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Daniel Moegi (User) on January 11, 2025

Hii nayo jamaniπŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on July 17, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on July 3, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on June 27, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Mtangi (Guest) on June 14, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Irene Makena (Guest) on May 6, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Karani (Guest) on May 2, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on April 30, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Moses Kipkemboi (Guest) on April 23, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on April 19, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Henry Sokoine (Guest) on March 18, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on March 7, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Hashim (Guest) on February 28, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on January 27, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on January 21, 2024

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on December 26, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Nkya (Guest) on December 22, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Mbise (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Samson Mahiga (Guest) on December 10, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on November 28, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on November 23, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on November 11, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on November 2, 2023

🀣πŸ”₯😊

Victor Kimario (Guest) on October 13, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on October 4, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on September 24, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Hamida (Guest) on September 21, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Edith Cherotich (Guest) on September 11, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on August 31, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mwajuma (Guest) on August 28, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Khamis (Guest) on August 27, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

John Mushi (Guest) on August 17, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on July 22, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Raha (Guest) on July 20, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Mwangi (Guest) on June 16, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nassor (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Irene Makena (Guest) on May 18, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Edward Lowassa (Guest) on May 14, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on April 12, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Alex Nakitare (Guest) on April 8, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Kassim (Guest) on April 1, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on March 19, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

John Malisa (Guest) on March 5, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on February 23, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on February 12, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on February 10, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

David Ochieng (Guest) on December 19, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on December 16, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Grace Mushi (Guest) on December 13, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on November 25, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Moses Kipkemboi (Guest) on October 13, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on September 26, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

David Kawawa (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Mariam Kawawa (Guest) on August 29, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on August 21, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Nassar (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Agnes Njeri (Guest) on July 13, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Zakia (Guest) on July 4, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Related Posts

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More