Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?

JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.

MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?

ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.

MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.

MWAL: Na wewe James??

JAMES: mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"

Akameza mate kisha akaendelea….

"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."

MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??

JENNY: Nataka kuwa mke wa James.!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mustafa (Guest) on June 15, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Monica Adhiambo (Guest) on June 6, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Issa (Guest) on May 11, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on April 14, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Alice Mrema (Guest) on March 21, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Sarah Karani (Guest) on March 16, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Andrew Mahiga (Guest) on January 24, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

John Lissu (Guest) on January 23, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ann Awino (Guest) on January 3, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Victor Kimario (Guest) on December 29, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Susan Wangari (Guest) on December 20, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on December 17, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jamila (Guest) on December 13, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

David Kawawa (Guest) on November 29, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Sarafina (Guest) on November 20, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Elizabeth Mrope (Guest) on November 9, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on November 7, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on November 3, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Stephen Kangethe (Guest) on October 31, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Francis Mrope (Guest) on October 14, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on October 8, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on September 7, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Chum (Guest) on September 1, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anna Sumari (Guest) on August 26, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Daudi (Guest) on August 16, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Andrew Mchome (Guest) on August 16, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Patrick Kidata (Guest) on August 15, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Agnes Njeri (Guest) on July 19, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on July 15, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on July 1, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on June 9, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

David Musyoka (Guest) on June 8, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mariam Hassan (Guest) on April 29, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Khalifa (Guest) on April 28, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Catherine Mkumbo (Guest) on April 18, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on April 18, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on April 15, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Monica Adhiambo (Guest) on April 7, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on March 30, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Wangui (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on January 21, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Kazija (Guest) on January 15, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Zuhura (Guest) on December 31, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on November 21, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on November 14, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

David Sokoine (Guest) on November 10, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Kimario (Guest) on November 9, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on November 6, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Mallya (Guest) on November 5, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Janet Sumari (Guest) on October 10, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Lydia Mutheu (Guest) on October 6, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Salima (Guest) on September 27, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on September 20, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mwanajuma (Guest) on September 12, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Shabani (Guest) on July 24, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Daudi (Guest) on July 19, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Ruth Wanjiku (Guest) on June 19, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mrema (Guest) on June 9, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Peter Mwambui (Guest) on May 14, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mwachumu (Guest) on May 11, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Related Posts

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More