Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nikalipe ada nimetumia shilingi alfu 30 kubeti
BABA : Unasema nini we mpumbavu mshenzi
mkubwa? Nimekukanya mara ngapi kuhusu kubeti?
DOGO : Lakini baba
BABA : Lakini baba nini ngoja urudi utaona
ntakachofanya.
DOGO : Nilitaka kukwambia kuwa nimeshinda
shilingi milioni 3
BABA : Ndio hayo ninayosema wewe mpumbavu
sana kwanini hukutumia laki nzima kubeti? Si
ungepata pesa nyingi zaidi? Ngoja urudi niwataarifu
ndugu zako kuhusu uulivyo na akili za kuamua
haraka mwanangu mpenzi…

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nancy Kawawa (Guest) on July 12, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on May 17, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Paul Kamau (Guest) on April 24, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

David Ochieng (Guest) on March 18, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Binti (Guest) on March 2, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Sumari (Guest) on February 29, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on February 6, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Elizabeth Mtei (Guest) on December 15, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on December 7, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on November 20, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on November 15, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on November 12, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on November 9, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on November 7, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

John Mwangi (Guest) on October 1, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on September 29, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Kazija (Guest) on September 20, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Edward Chepkoech (Guest) on September 15, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Violet Mumo (Guest) on September 14, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on August 27, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Tambwe (Guest) on July 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Elizabeth Mrema (Guest) on July 27, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on July 24, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on July 24, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on June 1, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Jabir (Guest) on May 5, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on April 20, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Edward Chepkoech (Guest) on March 28, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Alex Nyamweya (Guest) on March 8, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Khamis (Guest) on February 21, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Stephen Kangethe (Guest) on February 17, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on February 14, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Abdullah (Guest) on February 2, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Ann Wambui (Guest) on January 22, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

John Mwangi (Guest) on January 3, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on December 30, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on December 17, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Ali (Guest) on December 13, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

John Mushi (Guest) on December 11, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on December 6, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Sokoine (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on November 26, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Shamim (Guest) on October 10, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Andrew Mchome (Guest) on October 5, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on September 10, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on September 5, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Grace Wairimu (Guest) on August 31, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on July 30, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Lucy Kimotho (Guest) on July 12, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Abubakar (Guest) on July 9, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on April 21, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 6, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on February 13, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jane Muthoni (Guest) on February 6, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 6, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on January 8, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Linda Karimi (Guest) on December 30, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Charles Wafula (Guest) on December 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
πŸ“– Explore More Articles