Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mkeΒ­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

Siku ya pili
MUME: Vipi mko salama huko?
MKE: Tupo kama ulivyotuacha
MUME: kwani uko wapi?
MKE: Niko nyumbani napika
MUME: Washa brender kama kweli uko nyumbani
Mke akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Poa ntarudi baada ya masaa mawili

Siku sita baadaeΒ mume akaamua kurudi bila kumtaarifu mkewe alipofika home kamkuta mdada wa kazi yuko peke yake.
MUME: We mama yako yuko wapi?
MDADA: Sijui ameondoka na blender toka asubuhi

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Michael Mboya (Guest) on July 13, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Ndoto (Guest) on July 8, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on July 3, 2024

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joseph Kawawa (Guest) on May 28, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on May 17, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Frank Sokoine (Guest) on April 28, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Stephen Kangethe (Guest) on April 21, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on April 16, 2024

😊🀣πŸ”₯

Moses Kipkemboi (Guest) on March 5, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Edith Cherotich (Guest) on February 8, 2024

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

James Kawawa (Guest) on February 8, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on January 5, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on January 4, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Elizabeth Malima (Guest) on December 19, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on December 9, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on December 3, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 30, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on November 21, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Irene Makena (Guest) on November 19, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Bahati (Guest) on October 25, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joyce Aoko (Guest) on October 3, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mchawi (Guest) on September 30, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Janet Sumari (Guest) on September 7, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Guest (Guest) on May 24, 2026

Oya niaje chafu zangu? Oya mwanenu mimi leo ninashida tena shida yenyew ni kaz wanang nisevunh mwanenu namb yang 0634417550 Sio ya whatsapp ni yakawaida

Robert Okello (Guest) on July 27, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mwinyi (Guest) on July 13, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Rose Kiwanga (Guest) on June 27, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on June 9, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Esther Cheruiyot (Guest) on May 20, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Shabani (Guest) on April 10, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on March 27, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Sekela (Guest) on March 5, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Thomas Mtaki (Guest) on February 27, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Diana Mallya (Guest) on February 18, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on February 5, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 21, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Carol Nyakio (Guest) on January 13, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mary Sokoine (Guest) on January 5, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on December 19, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on December 15, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Hamida (Guest) on December 5, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Leila (Guest) on November 27, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mariam Kawawa (Guest) on November 15, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sofia (Guest) on November 13, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Ann Wambui (Guest) on October 21, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Victor Kimario (Guest) on September 5, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on August 24, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Wande (Guest) on August 5, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Issack (Guest) on July 7, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Stephen Mushi (Guest) on June 27, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on June 10, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Sarah Achieng (Guest) on June 2, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Wanjiru (Guest) on April 30, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Habiba (Guest) on April 12, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Wilson Ombati (Guest) on April 1, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Ann Awino (Guest) on March 14, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Esther Cheruiyot (Guest) on January 21, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ruth Wanjiku (Guest) on January 14, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on December 25, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Kimotho (Guest) on December 15, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Related Posts

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More