Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?

HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card inamaanisha mchezaji awache kucheza na atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light! Yellow- Ilani na Red - Simama
HUSBAND: Yeah yeah swity! Ndio hivyo.
WIFE: Na je Green Card??
HUSBAND: Aaaah! Hakuna kitu kama hicho.

WIFE: Nataka Arsenal ishinde world cup.
HUSBAND: [kimya]
WIFE: Ni nani yule mzee anakaa kama Mr. Bean??
HUSBAND: Yeees swity, yule ni kocha wa Arsenal, anaitwa Arsene Wenger.
WIFE: Oooooh! inamaanisha yule kocha mwengine ni Chelsea Wenger??
HUSBAND: [Kabadilisha channel]

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Thomas Mtaki (Guest) on March 20, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on March 7, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on February 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on January 18, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on January 2, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on December 31, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jacob Kiplangat (Guest) on October 17, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on September 16, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Grace Majaliwa (Guest) on August 26, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on August 26, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Maneno (Guest) on August 19, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on August 4, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on August 1, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Kijakazi (Guest) on July 16, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

David Kawawa (Guest) on July 13, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on June 23, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on June 17, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Hellen Nduta (Guest) on June 14, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on June 7, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on June 3, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Neema (Guest) on May 11, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mchawi (Guest) on April 3, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Lucy Wangui (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Joy Wacera (Guest) on March 12, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mary Kendi (Guest) on March 7, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on February 13, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on January 31, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Andrew Mchome (Guest) on January 18, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Susan Wangari (Guest) on January 1, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ruth Wanjiku (Guest) on December 7, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on November 20, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on November 18, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Michael Mboya (Guest) on November 16, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Raha (Guest) on November 5, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Anthony Kariuki (Guest) on October 20, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mary Njeri (Guest) on September 14, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Kenneth Murithi (Guest) on August 31, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on August 30, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on August 16, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

David Ochieng (Guest) on August 2, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

John Lissu (Guest) on July 8, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zubeida (Guest) on July 6, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Baraka (Guest) on June 26, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Lydia Wanyama (Guest) on June 20, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on June 11, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 21, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Patrick Kidata (Guest) on May 3, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on March 28, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Monica Adhiambo (Guest) on March 19, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on March 9, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on February 23, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mwajabu (Guest) on February 13, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Anna Mahiga (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

John Mwangi (Guest) on January 14, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Majaliwa (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on December 23, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mchuma (Guest) on December 17, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Edith Cherotich (Guest) on November 27, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on November 27, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Related Posts

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
πŸ“– Explore More Articles