Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Featured Image

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki
yako akijua? tena koma!
JAMAA: Ntakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana
mume wangu akiwa kazini!

Kesho yake Jamaa kaja
na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake,
jioni ilipofika
Mume akarudi home na
kumuuliza Mkewe, "Rafki yangu SAM kaleta hela yangu milioni 1?"
MKE akajibu kwa unyonge, "Ndio!"
MUME: Yes! Ndio maana nampenda SAM kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!!
Mke hoi……

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ann Wambui (Guest) on July 6, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on July 3, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Salma (Guest) on June 20, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on June 9, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Patrick Akech (Guest) on June 4, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Samson Tibaijuka (Guest) on May 6, 2024

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Saidi (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Jafari (Guest) on April 12, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Lydia Mutheu (Guest) on April 1, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on March 20, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Linda Karimi (Guest) on March 17, 2024

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Monica Lissu (Guest) on March 4, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on January 24, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on January 20, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Faiza (Guest) on January 18, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Wilson Ombati (Guest) on January 2, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Baridi (Guest) on January 1, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Lydia Mahiga (Guest) on December 27, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Sumaya (Guest) on December 18, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on December 14, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Wambura (Guest) on November 24, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Mushi (Guest) on November 20, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on November 4, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on October 30, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Issa (Guest) on October 10, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

David Chacha (Guest) on September 24, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joyce Nkya (Guest) on September 6, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on August 19, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on June 25, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Daniel Obura (Guest) on May 13, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khatib (Guest) on April 26, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on March 20, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on March 19, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on March 15, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Wambura (Guest) on February 28, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Isaac Kiptoo (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on January 23, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sekela (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Francis Mrope (Guest) on January 6, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on December 26, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mercy Atieno (Guest) on December 21, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on December 16, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

John Lissu (Guest) on December 10, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Baridi (Guest) on September 24, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Irene Makena (Guest) on September 24, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on September 18, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Dorothy Nkya (Guest) on August 28, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

David Musyoka (Guest) on August 20, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Umi (Guest) on July 24, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on July 22, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

George Ndungu (Guest) on July 17, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on April 29, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Abubakari (Guest) on April 25, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Moses Kipkemboi (Guest) on April 15, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joyce Nkya (Guest) on March 29, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Fikiri (Guest) on February 22, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Zakia (Guest) on February 19, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Francis Mtangi (Guest) on February 12, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Lucy Wangui (Guest) on January 27, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on December 17, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Related Posts

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More