Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Featured Image
Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo zako na…….. Kabla hajamalizia sentensi simu ya mkewe ikaita, kumbe alikuwa ni baba yake. Basi mzee akaanza kuongea na binti yake huku jamaa anasikia "Aisee mwanangu nimebahatika kuuza ile nyumba yangu sasa nimeona niwatumie milioni 20 mjaribu kuanzisha mradi na mwenzio. Haya mwambie yeye nitampigia kesho kama ana mradi mwingine nimpe hela kidogo".Baada ya simu kukatwa mke akamgeukia jamaa akamuuliza,"eeenhee!!! ulikuwa unasema umenichoka nikusanye nguo zangu halafu iweje? Jamaa kwa upole akajibu "Nilikuwa nasema ukusanye nguo zako na unipe nifue".
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Patrick Mutua (Guest) on October 6, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Juma (Guest) on September 24, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joyce Mussa (Guest) on September 13, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

James Kimani (Guest) on September 6, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Isaac Kiptoo (Guest) on August 9, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on August 7, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Safiya (Guest) on June 23, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Husna (Guest) on June 17, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Paul Ndomba (Guest) on April 2, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on March 24, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Faith Kariuki (Guest) on March 18, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on March 7, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Jafari (Guest) on March 6, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Maimuna (Guest) on February 10, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on January 23, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Irene Makena (Guest) on January 14, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on January 8, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Warda (Guest) on January 4, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on December 20, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on November 4, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on October 22, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Lucy Mahiga (Guest) on September 16, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

George Ndungu (Guest) on August 16, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Margaret Anyango (Guest) on August 15, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Bahati (Guest) on August 8, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Irene Akoth (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Daniel Obura (Guest) on July 20, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sultan (Guest) on July 1, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on June 24, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Nasra (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Alex Nyamweya (Guest) on May 21, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on April 28, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Njeri (Guest) on April 22, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Ruth Kibona (Guest) on March 22, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mwanajuma (Guest) on March 21, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Brian Karanja (Guest) on March 20, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mchawi (Guest) on March 17, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Hassan (Guest) on March 10, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Makame (Guest) on January 31, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Benjamin Masanja (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joyce Mussa (Guest) on January 20, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on November 29, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Peter Mbise (Guest) on November 20, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Anna Mchome (Guest) on October 14, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on September 12, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on August 15, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Khadija (Guest) on July 29, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Elizabeth Mtei (Guest) on July 1, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Robert Ndunguru (Guest) on June 28, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Shabani (Guest) on June 18, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Thomas Mtaki (Guest) on June 17, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Maneno (Guest) on May 26, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Carol Nyakio (Guest) on April 14, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on April 1, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on March 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on December 26, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on December 23, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on December 17, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

πŸ“– Explore More Articles