Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Featured Image
Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo zako na…….. Kabla hajamalizia sentensi simu ya mkewe ikaita, kumbe alikuwa ni baba yake. Basi mzee akaanza kuongea na binti yake huku jamaa anasikia "Aisee mwanangu nimebahatika kuuza ile nyumba yangu sasa nimeona niwatumie milioni 20 mjaribu kuanzisha mradi na mwenzio. Haya mwambie yeye nitampigia kesho kama ana mradi mwingine nimpe hela kidogo".Baada ya simu kukatwa mke akamgeukia jamaa akamuuliza,"eeenhee!!! ulikuwa unasema umenichoka nikusanye nguo zangu halafu iweje? Jamaa kwa upole akajibu "Nilikuwa nasema ukusanye nguo zako na unipe nifue".
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Patrick Mutua (Guest) on October 6, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Juma (Guest) on September 24, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joyce Mussa (Guest) on September 13, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

James Kimani (Guest) on September 6, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Isaac Kiptoo (Guest) on August 9, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on August 7, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Safiya (Guest) on June 23, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Husna (Guest) on June 17, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Paul Ndomba (Guest) on April 2, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on March 24, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Faith Kariuki (Guest) on March 18, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on March 7, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Jafari (Guest) on March 6, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Maimuna (Guest) on February 10, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on January 23, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Irene Makena (Guest) on January 14, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on January 8, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Warda (Guest) on January 4, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on December 20, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on November 4, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on October 22, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Lucy Mahiga (Guest) on September 16, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

George Ndungu (Guest) on August 16, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Margaret Anyango (Guest) on August 15, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Bahati (Guest) on August 8, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Irene Akoth (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Daniel Obura (Guest) on July 20, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sultan (Guest) on July 1, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on June 24, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Nasra (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Alex Nyamweya (Guest) on May 21, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on April 28, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Njeri (Guest) on April 22, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Ruth Kibona (Guest) on March 22, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mwanajuma (Guest) on March 21, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Brian Karanja (Guest) on March 20, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mchawi (Guest) on March 17, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Hassan (Guest) on March 10, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Makame (Guest) on January 31, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Benjamin Masanja (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joyce Mussa (Guest) on January 20, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on November 29, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Peter Mbise (Guest) on November 20, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Anna Mchome (Guest) on October 14, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on September 12, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on August 15, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Khadija (Guest) on July 29, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Elizabeth Mtei (Guest) on July 1, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Robert Ndunguru (Guest) on June 28, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Shabani (Guest) on June 18, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Thomas Mtaki (Guest) on June 17, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Maneno (Guest) on May 26, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Carol Nyakio (Guest) on April 14, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on April 1, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on March 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on December 26, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on December 23, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on December 17, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More