Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ndege ya Tanzania

Featured Image

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita tangazo kama ifuatavyo:

Ndugu wasafiri wote, ndege unayotarajia kusafiri nayo imetengenezwa na wanafunzi wa Kitanzania.
Baada ya tangazo maprofesa wote waliteremka isipokuwa mmoja alibaki kwenye kiti chake
Walipomuuliza ni kwanini hakuondoka akajibu kwa haraka na furaha kuwa:
Kama ndege hii imetengenezwa na watanzania, hata kuwaka haitawaka!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nassor (Guest) on July 14, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Violet Mumo (Guest) on June 30, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Ndoto (Guest) on June 3, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Edward Lowassa (Guest) on May 26, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on May 10, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on May 4, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Lucy Mahiga (Guest) on May 4, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mwanais (Guest) on April 8, 2024

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Chris Okello (Guest) on April 7, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mwalimu (Guest) on April 1, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Mary Njeri (Guest) on March 25, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mohamed (Guest) on March 15, 2024

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Victor Malima (Guest) on March 9, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Zulekha (Guest) on February 23, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mazrui (Guest) on February 21, 2024

😁 Hii ni dhahabu!

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 3, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Kibwana (Guest) on January 31, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

John Mwangi (Guest) on January 24, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on January 4, 2024

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on November 19, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on November 18, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on November 3, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Joyce Aoko (Guest) on October 20, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 23, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on August 1, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on July 7, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on June 24, 2023

😊🀣πŸ”₯

David Musyoka (Guest) on June 20, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Hashim (Guest) on May 28, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Joyce Nkya (Guest) on May 21, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Benjamin Masanja (Guest) on May 7, 2023

🀣πŸ”₯😊

Thomas Mtaki (Guest) on April 24, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Andrew Mahiga (Guest) on March 29, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alice Mrema (Guest) on March 29, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Khadija (Guest) on March 27, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Sharifa (Guest) on March 13, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Betty Akinyi (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Sarah Achieng (Guest) on December 13, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Elizabeth Mtei (Guest) on December 12, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Samuel Were (Guest) on October 25, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on October 16, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Lucy Mushi (Guest) on September 22, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on September 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Umi (Guest) on August 29, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Abubakar (Guest) on August 18, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Violet Mumo (Guest) on July 22, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on July 19, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

John Mushi (Guest) on July 3, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Khadija (Guest) on June 29, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on June 12, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Benjamin Masanja (Guest) on June 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on June 4, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on June 3, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Azima (Guest) on May 1, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Janet Sumaye (Guest) on May 1, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

George Ndungu (Guest) on April 21, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on April 15, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on February 10, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on February 9, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on January 24, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Related Posts

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About