Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Featured Image

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJUE ni jamaa wa UDSM.

2. Ukaona geto lina nguo nyingi za watu tofauti tofauti, unga mwingi, vtunguu vng, nyanya halaf pembeni, Vitabu vya kutosha na lundo la karatasi za betting ujue huyu JAMAA ni wa SAUT.

3. Ukaona geto halina kitu ndani zaidi ya mkate wa bakheresa na kopo la maji UJUE huyu jamaa ni wa UDOMπŸ˜‚β˜

4. Ukaona geto lina visamaki vikavu mezani, Notes za kutosha mezani na jaba pembeni UJUE huyu ni MJAMAA WA MWENGE/MWECAUπŸ˜œπŸ‘€

5. Ukaona geto lina Mawigi mengi na dressing table pembeni, ngazi ya kuwekea viatu UJUE huyu mjamaa ni wa RUCO IRINGA😘

6. Ukaona geto lina spray za kila aina, Nguo nyingi hasa za mitumba ambazo zimemodolewa mpaka tight UJUE huyu MJAMAA ni wa USHIRIKA MOSHI.

7.Ukiona geto lina Nyanya na mikungu ya ndizi halafu halafu nje kuna jiko la Mkaa UJUE huyu mjamaa ni wa TEKU mbeya😳

8. Ukiona geto lina tranka na nje wamevulia buti, viatu vya matope UJUE huyu Mjamaa ni Wa SMUCO MWIKA.

9. Ukaona geto ndan mashuka ya kimasai kinabao, hapa usipatwe na Mashaka, Jua huyu ni Mjamaa wa MAKUMIRA. 😜😜😜😜

10. Ukaona geto lina vimodo, vimini, miwani za tittled, jiko la mafuta ya taa, kitandani mito zaidi ya Minne,Visarafu kwenye meza, Tshirt nyingi za semina za family planning, Ukimwi n.k halafu chini tv ya chogo na king'amuz cha continental Ujue huyu MJAMAA ni wa TIA DSM 😱😱😱😱😱😱😱

β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β€΅β¬πŸ†™πŸ†™πŸ†™πŸ†™
JE, KWAKO KUKOJE? ???
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kazija (Guest) on June 20, 2022

Asante Ackyshine

Mary Njeri (Guest) on June 17, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Elizabeth Mrema (Guest) on June 13, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mwinyi (Guest) on June 11, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Betty Akinyi (Guest) on May 19, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Joy Wacera (Guest) on April 14, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

George Wanjala (Guest) on April 2, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Emily Chepngeno (Guest) on March 30, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on March 21, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Esther Cheruiyot (Guest) on March 17, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

George Tenga (Guest) on February 14, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Thomas Mtaki (Guest) on January 30, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on January 29, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on January 18, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

David Nyerere (Guest) on December 31, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Nora Kidata (Guest) on December 21, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Jane Malecela (Guest) on November 25, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on November 18, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Lucy Mushi (Guest) on October 22, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Mwagonda (Guest) on October 12, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Anna Malela (Guest) on October 11, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Maimuna (Guest) on October 4, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Wafula (Guest) on September 23, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on August 29, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Abdullah (Guest) on July 25, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Maida (Guest) on June 28, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Anna Mchome (Guest) on May 27, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Fikiri (Guest) on May 8, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Joyce Nkya (Guest) on April 15, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Hekima (Guest) on April 3, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Francis Njeru (Guest) on February 4, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Elijah Mutua (Guest) on December 23, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Asha (Guest) on December 12, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Alice Jebet (Guest) on October 8, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Latifa (Guest) on October 7, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on October 6, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on September 12, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Moses Kipkemboi (Guest) on August 26, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Patrick Kidata (Guest) on August 23, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Wanjiru (Guest) on August 18, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Wangui (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Grace Wairimu (Guest) on July 30, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Salima (Guest) on July 21, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on July 8, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Janet Wambura (Guest) on June 25, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Akumu (Guest) on April 26, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on April 10, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Dorothy Nkya (Guest) on April 7, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on March 26, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on March 23, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on February 29, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

George Tenga (Guest) on January 13, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Monica Nyalandu (Guest) on January 11, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Yahya (Guest) on January 4, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Peter Otieno (Guest) on January 2, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on December 30, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Betty Akinyi (Guest) on November 30, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on November 15, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Catherine Mkumbo (Guest) on October 9, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

πŸ“– Explore More Articles