Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Featured Image

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
BABA: Mungu alimuumba Nabii Adam na Hawa.
Kisha wao wakaanza kuzaa watoto na watoto
wakazaa mpaka tukazaliwa sisi. (Mtoto hakuridhika
akamfuta mamake)
MTOTO: Mma, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
MAMA: Wanasayansi wamesema sisi tulitokana na
manyani baadae tukawa binadamu. (Mtoto akarudi
kwa baba)
MTOTO: Baa mbona mama ansema sisi tulikuwa
manyani mwanzo?Au wanidanganya?
BABA: Mwanangu, mimi nimekuelezea kuhusu ukoo
wetu. Mamako amekuelezea kuhusu ukoo waoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌ

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Emily Chepngeno (Guest) on July 18, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Nancy Kabura (Guest) on July 6, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on July 2, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Janet Sumari (Guest) on June 29, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on May 8, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Francis Mrope (Guest) on April 27, 2024

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Thomas Mtaki (Guest) on April 21, 2024

😁 Kicheko bora ya siku!

Anna Sumari (Guest) on April 16, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on April 13, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on April 11, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on March 29, 2024

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Isaac Kiptoo (Guest) on March 18, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on February 6, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on February 5, 2024

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on January 28, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on January 16, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Catherine Mkumbo (Guest) on January 10, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on December 26, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Andrew Mahiga (Guest) on November 3, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Rose Kiwanga (Guest) on November 3, 2023

🀣πŸ”₯😊

Joseph Njoroge (Guest) on October 9, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Monica Adhiambo (Guest) on October 7, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on October 5, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Guest (Guest) on September 27, 2025

Kipaji wapi

Josephine Nduta (Guest) on August 29, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on August 9, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mary Njeri (Guest) on July 17, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on July 12, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on June 13, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mary Njeri (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Khadija (Guest) on May 26, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on May 16, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on May 7, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sarafina (Guest) on May 5, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Stephen Kangethe (Guest) on April 30, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Omari (Guest) on April 22, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mwanakhamis (Guest) on March 21, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on March 20, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on March 13, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on February 5, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mzee (Guest) on January 20, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 19, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Andrew Odhiambo (Guest) on January 18, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on December 27, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Francis Mrope (Guest) on December 21, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on December 20, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Henry Mollel (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on December 12, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Robert Okello (Guest) on November 12, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Linda Karimi (Guest) on November 6, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Lucy Wangui (Guest) on October 10, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on September 11, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zakaria (Guest) on September 2, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

David Nyerere (Guest) on August 27, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Agnes Njeri (Guest) on August 10, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Issack (Guest) on August 10, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 24, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on June 15, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Salima (Guest) on May 19, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 15, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More