Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Featured Image

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.
Mwalimu akauliza tena, β€œNi lini mara ya mwisho umemwambia mumeo β€œNakupenda Mpenzi”?

Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:
Wengine wakisema Asubuhi ya leo,
Wengine jana,
Wengine wiki iliyopita
Wengine mwezi uliopita
Na wengine wakasema hawakumbuki!
Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno β€œNAKUPENDA MPENZI”
Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.
Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika

Simu ya 1 – β€œSamahani, nani mwenzangu”!
Simu ya 2 – β€œSamahani, wrong number”!
Simu ya 3 – β€œSi nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hii”!
Simu ya 4 – β€œMh! leo mvua itanyesha”!
Simu ya 5 – β€œNikija tutaongea zaidi”!
Simu ya 6 – β€œβ€¦β€¦Imedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa ……”!
Simu ya 7 – β€œMe too”!
Simu ya 6 – β€œHuu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikoma”!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joseph Mallya (Guest) on July 25, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Zuhura (Guest) on July 12, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Josephine Nduta (Guest) on July 6, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Samuel Were (Guest) on June 19, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Janet Sumari (Guest) on June 6, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Edward Lowassa (Guest) on June 6, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Rose Lowassa (Guest) on May 20, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on May 20, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Issa (Guest) on May 6, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Edith Cherotich (Guest) on April 28, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on March 29, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on March 15, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on March 10, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Emily Chepngeno (Guest) on March 7, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Moses Mwita (Guest) on March 1, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Janet Wambura (Guest) on February 12, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on January 11, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Grace Minja (Guest) on January 5, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

James Mduma (Guest) on January 3, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on December 4, 2021

🀣πŸ”₯😊

Ruth Wanjiku (Guest) on November 25, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 22, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on November 8, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Frank Sokoine (Guest) on October 27, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 23, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Binti (Guest) on October 5, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

David Ochieng (Guest) on September 21, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Charles Mrope (Guest) on September 11, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nchi (Guest) on September 8, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Isaac Kiptoo (Guest) on August 31, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lucy Mahiga (Guest) on August 16, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on July 12, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Janet Mwikali (Guest) on July 8, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on May 25, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on March 13, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Sofia (Guest) on March 3, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Elizabeth Mtei (Guest) on February 16, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on January 30, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shabani (Guest) on January 29, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Susan Wangari (Guest) on January 22, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Chris Okello (Guest) on November 10, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on October 29, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Asha (Guest) on September 27, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lydia Mutheu (Guest) on September 17, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Grace Wairimu (Guest) on September 15, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

David Ochieng (Guest) on September 11, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on August 27, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on July 25, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

James Kimani (Guest) on July 25, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Joyce Aoko (Guest) on June 5, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samson Mahiga (Guest) on May 15, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on May 8, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Charles Mrope (Guest) on May 3, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on April 24, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on April 16, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mjaka (Guest) on March 9, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Farida (Guest) on January 13, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Alex Nakitare (Guest) on January 9, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Ann Wambui (Guest) on January 7, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Related Posts

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

πŸ“– Explore More Articles