Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Benjamin Kibicho (Guest) on July 18, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Guest (Guest) on January 19, 2026

nili msimamisha njiani nikamuomba namba yake yasm akasita sita kama hataki mwisho akanipa ila kishingo upande nilipofika nikamtumia mambo akajibu pw nikaanza swaga zangu unajua toka nilipokuona pale mi moyo hauna amani nimetokea kukupenda sana nakupenda akajibu ahsante kwakunipenda tafikilia takupa jibu nikajibu naomba liwe jibu zur nakupenda sana akajibu sawa usijali ila nimeishiwa text nikamtumia vocha yabu pw pw ? zikapita siku3 yuko kimya nikampandia hewani mimimwenyewe vp jibu langu akanambia takupa badae usjal ilipofika badae nikapg 2kaongea tunacheka nikamuambia vp sas jibu akanambia we nimtu mzima sopaka utamkiwe usiaelewa kwamaneno hayo nikahis kabs %100 amekubal nikawa namuhudumia hela kusuka vinini ira sijapga hata busu siku yasiku ndo ananambia leo ndo nakupa jibu lako nikashtuka ila nikapuzi2 mida yasa3 usiku akapg sm mwenyewe nakuuwanza kusema mi namtuwangu SIKUPENDI alafu alishatumia kama 80000 yangu oya nimfanye nini uy dem au nim'bake ABU_MAHEMBE BYME

Guest (Guest) on December 31, 2025

TANGAZO TANGAZO eee jamani kucheka nidawa kucheka niafya sasa mimi kama daktar tawatibu bure mpaka lin anzeni kunichangia jamani mcheke muongeze siku zakuishi nipeni kampan namimi nipate nguvu yakukusanya vichekesho kwauwered sasa tapataje nguvu yakufanya kazi isiokuwa namaripo USISEME NAKUCHEKESHA SIJAKUShIKA MDOMONI unacheka mwenyewe mi nik uku unanisingizia mimi kama vile nimelishaka domolako nikalipanua haya jamani tunaomkubar
ABU MAHEMBE wote tujitokeze kwawing kumuunga mkono unatupia umu (0681305278)
jelo au buku au yoyote uliyonayo kikubwa inifikie kama mchango namimi takuuanga text live kwanjia ya sms namba yangu iyoapo nichek kwa text zaid kwasasa sitapost tena text yoyote umu nimechoka kufanya kaz bira maripo sasampa usinitafute nikuunge kama hauna kesh tuma buku kwenye namb hiyo nikuunge
nawapenda jamani ndoma had mnanijuwa jina wapo wanaopost lakn hajurikan hata kwajina sovizur best my text by tukutane live tuchat

Guest (Guest) on December 19, 2025

we Mbosso wewe
kwasasa wapendanao wameanza kuitana
my Pawa

Guest (Guest) on December 19, 2025

we Mbosso wewe
kwasasa wapendanao wameanza kuitana
my Pawa

Guest (Guest) on December 22, 2025

|
| @
| <!>
| !!
| _/\_
|
|usione nikokimya
nawaza mwaka 2025 ndohuuwo unakatika HIVI SIKUDAIΒ‘! KWERI
fikilia vizur kama nakudai tuma kwahi namba kataa mataper 0681305278 abu ee by

Guest (Guest) on December 13, 2025

"TANGAZO"
"TANGAZO"
"JAMANI"
"ABU"
"NIMEPOTEA
"ATAKAENIONA
"ANIPE"TARIFA"
"MANA"
NIMESHAJITAFUTA
SANA"RAKINI"SIJIPATI"

ABU MAHEMBE ME by
nipe
taarifa sasa 0681305278

Guest (Guest) on December 16, 2025

Uko wap

Guest (Guest) on December 19, 2025

KGM TZ

Guest (Guest) on December 8, 2025

ety wewe nikiungo gani kilichojificha lakini ndo kinatumika sana kwenyemwili wabinadam ....?

Guest (Guest) on December 10, 2025

:KADI YA MWARIKO: wa VITA
familiya ya mzee MAANDAMANO
NA bibi MAUWAJI wanayo furaha kubwa kukualika kwenye sherehe ya mtoto wao mpendwa aitwae KIFO anaetarajia kufunga ndoa nawewe
MABOM NARISASI NDO chakura chenu kilichopo eneo la mtaani kwako tarehe9mwezi12 tunakukaribisha sana kwa maelezo zaidi KAZURURE SOKONI MITAANI NAMJINI UMAUT WAKO NDO mafanikio ya sherehe hiyo
ABU MAHEMBE
menn by
hahaha misimo

Guest (Guest) on December 10, 2025

:KADI YA MWARIKO:
WA vita
familiya ya mzee MAANDANO na
bibi MAUWAJI wanayo furaha kubwa kukualika kwenye sherehe yamtoto wao mpendwa aitwae KIFO anaetarajia kufunga ndoa nawewe MABOM NA RISASI yaliopo eneo lamtaani kwako tarehe 19 mwezi 12vinakukaribisha sana kwamaelezo zaidi KAZURURE SOKONI MITAANI NAMJINI hadi usiku UMAUTI WAKO ndiyo mafanikio yasherehe hiyo
ABU MENN BY
HAHAHA nyoote mnakaribishwaa
misimo

Guest (Guest) on December 8, 2025

".nampenda sana mama
nawewe ndugu yangu mpende sana mamayako mana yeye ndo kafanya mimi nawewe tukajuana muheshim mamayako haijalishi yuko vp kabra hujawaza kumzalau mama yako fikilia kwanza amekubeba tumboni myezi 9 mkumbuke kwaicho kdogo ulichopata mana hata yeye kipindi uko mdogo hakuweza kula paka uliposhiba wewe
hakuvaa nguo nzuri paka ulipo pendeza wewe hakulala usiku paka ulipo lala wewe nabado haikutosha miguu yake ukaifanya ndo choo chako mapajayake ukayafanya kiti chako mgongo wake ukaufanya gari lako lausafiri kila alipo upo nabado haikutosha akajifunya lugha yako yautotoni isioeleweka ir unapoongea ajue unahitaji nini akawa kama kichaa kukuchezesha iri usilie kukuongeresha hali yakuwa huongei ili ujuwe lugha sahihi paka leo umesimama amepitia meng mazito nandomana mama amepewa cheo kikubwa kwamtoto mama nimungu wapili baba asingeweza mama akikupa ladhi hutofanikiwa maisha yako yote nawenda ukawa chizi kabisa
ABU menn by

Guest (Guest) on December 8, 2025

kunasiku baba aliniambia nikasimamie wafanyakazi mi nikaenda kuwasimamia kweli hadi mda wakula nimewasimamia baba akanikuta nimesimama ety wewe mbona unawasimamia watu wako wanakula nikamjibu kwani wewe ulinambia nije kuwakalia au kuwasimamia
waTanzania tutenguege kauri utakuta mtu anajita msimamizi wakati mda wote amekaa oficini sasa wewe nimsimamizi au mkalizi hahaha
abu meenn by

Guest (Guest) on December 3, 2025

watoto waefumbili hamzeeki kila siku watoto wa2000 sasa kwanzia leo nawaita mabibi wa2000

Guest (Guest) on November 29, 2025

yani:mtu:unajickia kumpenda:: :mtu::alafu
anashindwa::kukuamini::
ety we binti wambeya :kwanini huniamini: nakupenda mwenzako
ΒΏ? ΒΏ?

Guest (Guest) on November 29, 2025

''kama ujana maji ""yamoto"""birashaka
""uleo nimaji yabalidi

Benjamin Masanja (Guest) on July 3, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Guest (Guest) on December 2, 2025

".WAKIKULIZA."
".WAMBIE."
".BADO
NATAFUTA

Guest (Guest) on November 29, 2025

,ukozako sebreni
,umechoka unaskia
,mamayako anakwambia wewe? kamwangalie mtoto inje analia we unamjibu
aliaa_anashoto

Guest (Guest) on November 29, 2025

:ukiamua kujitumazako :ufanye kazi
:utaskia akishavutaga :bangi ndoalivyo
yani waTanzania
mhh^_^

David Nyerere (Guest) on June 8, 2024

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Guest (Guest) on November 29, 2025

|YANI UTAKUTA |KUNALIJAMAA |RINAMUOGOPA
|BINADAM MWENZAKE |KULIKO HATA LINAVO MUOGOPA MUNGU
IVI UNAAKIRI WEWE!!
"WEWE DADA WEWEKAKA UNAKUWA NAHOFU NABINADAM KULIKO HATA MUNGU UNAAKILI KWELI WEWE(%)

Guest (Guest) on November 29, 2025

%utakuta libaba lizima linamindevu linakwambia nakula ujana
kumbe ujana unaliwa
uleo je?hauliwi

Josephine Nduta (Guest) on May 27, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Wairimu (Guest) on May 23, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Mahiga (Guest) on May 21, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Guest (Guest) on October 8, 2025

"kihele hele "chakumpenda "mpangaji mwenzangu "
*ona leo nalipa kodi "malambili
"(ABU)SIDO)SAMIRU)SIDO

Sarah Mbise (Guest) on May 9, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Jonath (Guest) on April 20, 2024

Good

Guest (Guest) on October 8, 2025

"kumbe mungu alifanya "vema watu kufa "isgekua kufa sijui tungekula nini mana duni ingejaa "watu ABU APA wamiki sido

Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on April 20, 2024

Inafurahisha na kutafakarisha

Samson Mahiga (Guest) on April 20, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joyce Mussa (Guest) on April 20, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on February 10, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on January 30, 2024

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on January 16, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on December 5, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Guest (Guest) on November 29, 2025

'utakuta kunalijamaa
.linamchukia mtoa mimba :wakati nalenyewe linapiga nyeto ivi unaakili wewe sasa mpiga nyeto namtoa mimba wote sihali moja kasolo mkia

Guest (Guest) on November 14, 2025

VICHEKESHO

Elizabeth Mrope (Guest) on November 5, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on October 5, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on September 29, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

David Musyoka (Guest) on August 26, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Guest (Guest) on November 29, 2025

=mtihani wamaisha
yako mwaka 2025 umetoka somo lauvivu
umepata .23.0%
kujituma .32%
kutukana .45%
utani .75%
upendo .27%
upole .1%
mapenzi .100%
sadaka .0.0%
ibada .5%
kaone usowake
yani yoote umeferi
somo lamapenz ndo umepata mia

Stephen Amollo (Guest) on August 19, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Farida (Guest) on July 31, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Salum (Guest) on July 30, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Peter Otieno (Guest) on July 15, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on July 8, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on June 30, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Benjamin Masanja (Guest) on June 8, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on May 22, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nuru (Guest) on May 18, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 15, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on April 10, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Kheri (Guest) on March 19, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Related Posts

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

πŸ“– Explore More Articles