Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Featured Image

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yale mambo yao ya Sumbawanga, akampachika Rashidi i jinsia ya kike.

Alipofika mahakamani kuhojiwa Rashidi akasema sijampa ujauzito kwa sababu mimi pia nina jinsia ya kike.
Kwa kuthibitisha Rashid wakaenda kumkagua basi akashinda kesi, kufika nyumbani Rashid akawakuta watu wamejaa wanalia, akauliza kulikoni?
Akaambiwa bibi yako amefariki. πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜°πŸ˜°πŸ˜°πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Kwa sasa Rashid anaitwa LeilaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jacob Kiplangat (Guest) on December 31, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on December 20, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mwanaisha (Guest) on November 24, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Elizabeth Mrope (Guest) on November 16, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on November 4, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Diana Mumbua (Guest) on October 27, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on September 11, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on September 10, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Sumaye (Guest) on September 9, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Robert Ndunguru (Guest) on August 19, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Nkya (Guest) on August 5, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Henry Mollel (Guest) on July 31, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on June 29, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Samuel Were (Guest) on June 22, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on June 11, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on May 29, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Diana Mumbua (Guest) on May 26, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on May 2, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Susan Wangari (Guest) on April 20, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Fredrick Mutiso (Guest) on April 14, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jackson Makori (Guest) on April 4, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Jane Muthui (Guest) on January 13, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mary Kidata (Guest) on January 12, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Betty Akinyi (Guest) on January 8, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Fredrick Mutiso (Guest) on December 29, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

George Tenga (Guest) on November 9, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Tabu (Guest) on August 10, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Henry Sokoine (Guest) on August 5, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Ann Awino (Guest) on July 16, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwinyi (Guest) on June 6, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Peter Mwambui (Guest) on May 16, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Kenneth Murithi (Guest) on May 13, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Philip Nyaga (Guest) on May 6, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on May 3, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on March 13, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Zawadi (Guest) on March 13, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

David Ochieng (Guest) on March 4, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Chris Okello (Guest) on February 26, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on February 17, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Azima (Guest) on January 30, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Victor Kimario (Guest) on January 27, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Moses Mwita (Guest) on January 25, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

David Sokoine (Guest) on January 7, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on January 1, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on December 26, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on December 24, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

David Nyerere (Guest) on December 17, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Rukia (Guest) on November 17, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mary Mrope (Guest) on November 7, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on November 1, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Josephine Nekesa (Guest) on October 27, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Francis Mtangi (Guest) on October 23, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on October 22, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Lowassa (Guest) on September 14, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on September 6, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Margaret Mahiga (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

John Mushi (Guest) on August 24, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Abdillah (Guest) on July 11, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

George Tenga (Guest) on June 28, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Joyce Aoko (Guest) on June 26, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

πŸ“– Explore More Articles