Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Featured Image
Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, tuko katika harakati za kujenga kanisa, jitafutie nafasi katika ufalme wa mbingu kwa kuchangia ujenzi huu. Na Mungu atakubariki zaidi PEDESHE: Samahani Mchungaji haitakuwa vizuri mimi kuchangia kanisa, fedha zangu ni haramu, huwa nazipata kwa utapeli na kuuza madawa ya kulevya. MCHUNGAJI: Yote ni heri, pesa yako tutatumia kwa kujenga eneo la choo we toa tu!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kenneth Murithi (Guest) on June 10, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on May 3, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on April 19, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on April 15, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Omari (Guest) on February 19, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Bernard Oduor (Guest) on December 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Carol Nyakio (Guest) on December 1, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mchome (Guest) on November 28, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 27, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on November 20, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on November 16, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Mariam (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Jane Muthoni (Guest) on October 19, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Warda (Guest) on August 10, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Sarah Karani (Guest) on August 4, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Charles Wafula (Guest) on July 31, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on July 26, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on July 21, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on July 4, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on June 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Janet Mwikali (Guest) on May 23, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on May 6, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on April 22, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on April 17, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

George Wanjala (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

James Kawawa (Guest) on April 9, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mhina (Guest) on March 22, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Moses Mwita (Guest) on March 13, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Esther Cheruiyot (Guest) on March 13, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on March 2, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on January 11, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Anna Sumari (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Francis Mrope (Guest) on December 15, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mwakisu (Guest) on December 12, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on December 8, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Josephine (Guest) on December 8, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Kibwana (Guest) on December 7, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on September 25, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on September 12, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Violet Mumo (Guest) on September 11, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on August 5, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Isaac Kiptoo (Guest) on July 21, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rahma (Guest) on July 17, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 9, 2022

😊🀣πŸ”₯

Agnes Njeri (Guest) on June 16, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on June 10, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Nchi (Guest) on June 6, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 31, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mazrui (Guest) on May 12, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

James Malima (Guest) on May 10, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mjaka (Guest) on April 26, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on April 12, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on April 8, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Vincent Mwangangi (Guest) on April 6, 2022

🀣πŸ”₯😊

Susan Wangari (Guest) on February 11, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on December 12, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nora Kidata (Guest) on November 25, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on November 18, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Maimuna (Guest) on November 10, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Related Posts

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More