Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimu….kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

lyahas (User) on November 30, 2025

nzuri

George Tenga (Guest) on July 19, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on July 17, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Tabitha Okumu (Guest) on July 11, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Sharifa (Guest) on June 7, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Elizabeth Mrope (Guest) on June 7, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mzee (Guest) on June 2, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Alice Wanjiru (Guest) on May 21, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mazrui (Guest) on May 14, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Patrick Mutua (Guest) on May 6, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Robert Okello (Guest) on April 28, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Khalifa (Guest) on April 13, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Sumaye (Guest) on April 1, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Carol Nyakio (Guest) on March 30, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Samson Tibaijuka (Guest) on March 22, 2024

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Mwalimu (Guest) on March 16, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Victor Malima (Guest) on February 28, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 21, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Malecela (Guest) on February 14, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on February 13, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on January 13, 2024

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on January 1, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa (Guest) on November 27, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 19, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

John Lissu (Guest) on October 21, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Miriam Mchome (Guest) on October 2, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on September 10, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Joseph Njoroge (Guest) on August 5, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on July 30, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Joseph Mallya (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on June 21, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on June 18, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Kenneth Murithi (Guest) on June 16, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nora Lowassa (Guest) on June 14, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Henry Mollel (Guest) on May 29, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on May 29, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rabia (Guest) on May 11, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 28, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on March 28, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Salum (Guest) on March 21, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Zakia (Guest) on March 10, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Jackson Makori (Guest) on March 3, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Yusra (Guest) on February 16, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on February 9, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Frank Sokoine (Guest) on January 30, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Achieng (Guest) on January 20, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on January 1, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on December 22, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on December 19, 2022

🀣πŸ”₯😊

Edwin Ndambuki (Guest) on December 11, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on December 3, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samson Mahiga (Guest) on December 1, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Zawadi (Guest) on October 27, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Fredrick Mutiso (Guest) on October 19, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on October 9, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Omar (Guest) on August 17, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Kevin Maina (Guest) on July 2, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Mallya (Guest) on June 20, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Related Posts

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

πŸ“– Explore More Articles