Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ruth Kibona (Guest) on July 22, 2024

😂 Nimeipenda kabisa hii!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 16, 2024

😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Stephen Kikwete (Guest) on June 8, 2024

😄😅👏😂

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 18, 2024

Hii ni kali sana! 😂🤣

Charles Wafula (Guest) on April 12, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! 😊😂

Sarah Karani (Guest) on March 31, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣

Elizabeth Mrema (Guest) on March 19, 2024

😂 Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Janet Wambura (Guest) on March 2, 2024

😅 Nilihitaji kicheko hicho!

Nancy Kabura (Guest) on February 19, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! 😆😂

Nora Lowassa (Guest) on February 14, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂

John Mushi (Guest) on February 9, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! 👏😂

Grace Majaliwa (Guest) on February 4, 2024

😂🤣😆

Patrick Akech (Guest) on December 28, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏🤣

Agnes Sumaye (Guest) on November 27, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! 😊😂

Peter Otieno (Guest) on November 26, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Mercy Atieno (Guest) on November 12, 2023

🤣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ramadhan (Guest) on October 28, 2023

😆 Hii imenigonga kweli!

Samuel Omondi (Guest) on October 23, 2023

😆 Hiyo punchline!

Tabu (Guest) on October 16, 2023

🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Chiku (Guest) on September 19, 2023

😂 Hii ni ya kuhifadhi!

Fadhili (Guest) on September 4, 2023

😅 Bado nacheka!

Stephen Mushi (Guest) on August 6, 2023

Hii imenibamba sana! 😂😅

Robert Okello (Guest) on July 24, 2023

😄 Umeimaliza kabisa!

Joyce Aoko (Guest) on June 20, 2023

Nimefurahia sana hii! 😅😊

Andrew Mahiga (Guest) on May 25, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🤣😊

Joseph Kiwanga (Guest) on May 10, 2023

😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mashaka (Guest) on April 30, 2023

😄 Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Henry Mollel (Guest) on April 24, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆

Zubeida (Guest) on April 19, 2023

🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!

George Mallya (Guest) on April 7, 2023

😂 Nacheka hadi nalia!

Charles Mboje (Guest) on April 6, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Mwikali (Guest) on February 22, 2023

😂😆

Aziza (Guest) on February 22, 2023

😂 Nitaiiba hii bila shaka!

Elizabeth Mrope (Guest) on February 14, 2023

Huyu alikuwa na point! 😂👌

Chris Okello (Guest) on February 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! 😂🤣

James Malima (Guest) on January 23, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏😂

Monica Lissu (Guest) on January 6, 2023

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Jaffar (Guest) on December 26, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jacob Kiplangat (Guest) on November 29, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🤣🤣

Omari (Guest) on November 27, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! 😄

Grace Wairimu (Guest) on November 21, 2022

😅 Bado ninacheka!

John Kamande (Guest) on November 11, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! 😆😂

Monica Nyalandu (Guest) on October 29, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Samuel Were (Guest) on October 26, 2022

😆👏😂😄

Isaac Kiptoo (Guest) on October 23, 2022

😄 Umeshinda mtandao leo!

Lucy Mushi (Guest) on October 19, 2022

Hii imenichekesha sana! 🤣😆

Isaac Kiptoo (Guest) on September 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🤣😊

Ruth Mtangi (Guest) on September 6, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! 😊😄

Shani (Guest) on August 31, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! 💰

Alex Nakitare (Guest) on August 29, 2022

😅 Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Sokoine (Guest) on August 18, 2022

😂🤣😂😅

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 9, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! 😆👏

Shamsa (Guest) on August 2, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Susan Wangari (Guest) on August 1, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! 😂😂

Carol Nyakio (Guest) on July 31, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! 😆👍

Habiba (Guest) on July 31, 2022

😄 Kali sana!

Betty Kimaro (Guest) on July 26, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! 😊😂

Kenneth Murithi (Guest) on July 2, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! 😊😆

Nyota (Guest) on June 30, 2022

😂 Siwezi kuacha kucheka!

Mgeni (Guest) on June 26, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! 😅

Related Posts

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFREND»... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

📖 Explore More Articles