Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Featured Image

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi akamjibu No! Mzungu mwengine akapita akamuliza vilevile akajibu No!

Akaona hapa anasumbuliwa akasogea mbele kidogo ya maji akamuona mzungu mmoja alikuwa ame2lia. Akamuliza "are u relax? Mzungu akajibu yes jamaa akamkata makofi mawili na kumwambia kumbe we ndo relax inuka unatafutwa na wenzako…..Shenz mkubwa mie nasumbuliwa na wenzako kule we umejikausha!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Hellen Nduta (Guest) on May 28, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on May 16, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Victor Sokoine (Guest) on May 14, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Halimah (Guest) on April 30, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Mary Kidata (Guest) on April 28, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on April 3, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on April 2, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Mushi (Guest) on March 23, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Rukia (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Robert Okello (Guest) on February 13, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Philip Nyaga (Guest) on January 26, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Paul Ndomba (Guest) on January 19, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Fredrick Mutiso (Guest) on December 26, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Philip Nyaga (Guest) on November 4, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on November 2, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 23, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on October 13, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Isaac Kiptoo (Guest) on October 5, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Francis Njeru (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on August 31, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on August 21, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on August 7, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Benjamin Masanja (Guest) on July 12, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on June 28, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Bahati (Guest) on June 2, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Maida (Guest) on May 28, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Edith Cherotich (Guest) on May 10, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Bakari (Guest) on May 7, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Esther Cheruiyot (Guest) on April 27, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on April 24, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on April 22, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mohamed (Guest) on April 14, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Andrew Odhiambo (Guest) on March 30, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Halima (Guest) on March 26, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Philip Nyaga (Guest) on March 7, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on February 5, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on February 3, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on January 31, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Dorothy Nkya (Guest) on January 28, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

John Malisa (Guest) on January 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on December 29, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Saidi (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Nassor (Guest) on December 17, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Latifa (Guest) on November 25, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Victor Kamau (Guest) on November 22, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on November 11, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on October 26, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on October 26, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on September 29, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on September 20, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on September 20, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on September 19, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on August 18, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on July 27, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Simon Kiprono (Guest) on June 8, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Daniel Obura (Guest) on May 4, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Related Posts

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
πŸ“– Explore More Articles