Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Featured Image

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi akamjibu No! Mzungu mwengine akapita akamuliza vilevile akajibu No!

Akaona hapa anasumbuliwa akasogea mbele kidogo ya maji akamuona mzungu mmoja alikuwa ame2lia. Akamuliza "are u relax? Mzungu akajibu yes jamaa akamkata makofi mawili na kumwambia kumbe we ndo relax inuka unatafutwa na wenzako…..Shenz mkubwa mie nasumbuliwa na wenzako kule we umejikausha!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Hellen Nduta (Guest) on May 28, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on May 16, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Victor Sokoine (Guest) on May 14, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Halimah (Guest) on April 30, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Mary Kidata (Guest) on April 28, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on April 3, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on April 2, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Mushi (Guest) on March 23, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Rukia (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Robert Okello (Guest) on February 13, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Philip Nyaga (Guest) on January 26, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Paul Ndomba (Guest) on January 19, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Fredrick Mutiso (Guest) on December 26, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Philip Nyaga (Guest) on November 4, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on November 2, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 23, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on October 13, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Isaac Kiptoo (Guest) on October 5, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Francis Njeru (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on August 31, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on August 21, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on August 7, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Benjamin Masanja (Guest) on July 12, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on June 28, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Bahati (Guest) on June 2, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Maida (Guest) on May 28, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Edith Cherotich (Guest) on May 10, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Bakari (Guest) on May 7, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Esther Cheruiyot (Guest) on April 27, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on April 24, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on April 22, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mohamed (Guest) on April 14, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Andrew Odhiambo (Guest) on March 30, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Halima (Guest) on March 26, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Philip Nyaga (Guest) on March 7, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on February 5, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on February 3, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on January 31, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Dorothy Nkya (Guest) on January 28, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

John Malisa (Guest) on January 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on December 29, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Saidi (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Nassor (Guest) on December 17, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Latifa (Guest) on November 25, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Victor Kamau (Guest) on November 22, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on November 11, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on October 26, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on October 26, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on September 29, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on September 20, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on September 20, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on September 19, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on August 18, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on July 27, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Simon Kiprono (Guest) on June 8, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Daniel Obura (Guest) on May 4, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Related Posts

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About