Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Featured Image

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.
4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.
5. Msongolist kimeo. Huyu huwa anasoma sana bt hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo, bt matokeo sisimizi.

6. Mlafi. Huyu huwa hakatai offer.
7. Mtoro wa kudumu. Haji darasani hata km hana sababu.
8. Mchelewaji wa kudumu. Anakuja kipindi kiko katikati au kinakaribia kuisha.
9. Miss/Mr.Misifa. kila mara ataeleza the way nyumbani kwao walivyo matajiri.
10. Less talkative bt kiwembe. Jamaa mkimya bt unakuta ametembea na karibu wasichana 15 hapo class.
11. Handsome boy ambaye hana mpango na wanawake.
12.Chips addicted. Hawa wanaweza kula chips asubuhi mchana na jioni. Jumatatu hadi jumatatu.
13. Back benchers. Hawa huwa watundu sana na ni watu wa jokes. Huwa hawajibu swali, but wanasubiri wakati wa kushangilia waongeze bezi.
14. Wambea. Hawapitwi na kitu darasani na washazoea kufeli.
15. Mchungaji/Mtumishi wa Mungu,
16. Waimbaji/Wasanii,
17.Walevi
18.Mabishoo.
19. Team popo. Hawa wewe na hela wasiwe na hela wanakesha club,
20.Mwenye aibu kusimama mbele za watu. Wakati wa Presentation anakimbilia kusimama nyuma ya wenzie,
21. Viherehere. Hawa mara nyingi hutokea kupendwa sana na waalimu.
22. Wanaosoma ili kushindana kwny GPA.
23. Kupe. Huyu boom likitoka atawaganda wenzie hadi ziishe, halafu yeye anaanza kula zake alone.
24. Wise man/woman. Huyu huwa ni mtu anayeaminika na kila mtu darasani. Hutumika sn kushauri pale mambo yanapoenda mrama. Mara nyingi huwa ni mtu mzima.
25.mpenda supu" yeye hata ya nyani atakunywa tu.
26.Fix man. Huyu atakuomba jero, akafuatilie dili la milioni kumi town, kumbe hana hela ya chai.
27. Photocopy machine. Huyu ukimuonesha majibu kwny mtihani anaweza kucopy hadi jina lako.
πŸ’₯Usposema wewe uko namba ngapi mwngine atakusemaπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kenneth Murithi (Guest) on October 4, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Nancy Akumu (Guest) on September 29, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on September 6, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on August 24, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Francis Njeru (Guest) on August 11, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nahida (Guest) on August 11, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

John Mwangi (Guest) on July 31, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on July 11, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rose Kiwanga (Guest) on June 26, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on June 19, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Furaha (Guest) on June 10, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mwinyi (Guest) on May 31, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Benjamin Masanja (Guest) on May 6, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Grace Njuguna (Guest) on April 7, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Maimuna (Guest) on February 24, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Patrick Kidata (Guest) on December 22, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

John Mwangi (Guest) on December 15, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on December 2, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on October 21, 2016

Asante Ackyshine

Lucy Kimotho (Guest) on October 14, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine (Guest) on October 13, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Shamsa (Guest) on September 8, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Sharon Kibiru (Guest) on September 5, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on July 31, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Hellen Nduta (Guest) on July 22, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on June 15, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Kamande (Guest) on June 6, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Sultan (Guest) on April 30, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nancy Kawawa (Guest) on April 22, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

James Kawawa (Guest) on April 14, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on April 8, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Kiza (Guest) on April 6, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Esther Cheruiyot (Guest) on April 4, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Daniel Obura (Guest) on March 29, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on March 27, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 24, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Stephen Amollo (Guest) on February 3, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Josephine Nekesa (Guest) on January 20, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Latifa (Guest) on January 14, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Alice Mrema (Guest) on October 9, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on October 5, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Frank Macha (Guest) on September 13, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Betty Cheruiyot (Guest) on September 9, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine (Guest) on September 8, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on August 22, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Samson Tibaijuka (Guest) on August 14, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Kevin Maina (Guest) on August 4, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mwanahawa (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Zulekha (Guest) on June 13, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Dorothy Nkya (Guest) on June 8, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on May 30, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on May 22, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on May 2, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on April 2, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About