Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Featured Image

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.

Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:

Ben:Β Muone yule mrembo amenirushia busu

Jose:Β tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..

(baadae yule mwanamke akamuashiria aende)

Ben:Β yule mwanamke ameniita!

Jose:Β Rafiki yangu, usiende. Nakutafadhalisha.

Ben:Β Kwa nini unaniambia nisiende Wakati mrembo kama yule ananiita? Huo ni wivu

Jose:Β Ben, Ninakutafadhalisha tena, usiende, tafadhali usiende kuleΒ (akihisi kutotiliwa maanani)

(Rafiki yake alimpuuza na alienda kwa yule mwanamke, mwanamke alishuka kukutana naye na wakapanda juu. Ghafla wakiwa wanataka kuanza taratibu za kula uroda, wakasikia mlio WA gari getini).. πŸ”ŠπŸ”Š

Lady:Β _(akiangalia kupitia dirishani)_
Oooh! Yule ni mume wangu!!

Ben:Β Mama yangu !
Nipo matatani, kweli ? ..!!

Lady:Β Usiwe na khofu, jifanye kuwa Dobi na anza kupiga pasi hizo nguo

(akimuonyesha lundo la nguo)

(Ben alitumia masaa matano kukamilisha kunyoosha zile nguo kwa sababu yule mume hakutoka tena siku ile)

(Siku iliyofuatia Ben alikwenda kwa Rafiki yake)

Ben:Β Kaka, unaweza kuamini Jana nimepiga pasi nguo kwa masaa matano???

Jose:Β Lakini nilikwambia usiende. Nguo zote hizo ulizonyoosha,Β Nilizifua Mimi Juzi!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

When an experienced person speaks … πŸ‘‚you must listen..!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Esther Cheruiyot (Guest) on July 18, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 13, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

John Mwangi (Guest) on July 13, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zulekha (Guest) on July 10, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nashon (Guest) on July 5, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Joyce Aoko (Guest) on June 28, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Issack (Guest) on May 15, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Agnes Njeri (Guest) on May 9, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on April 28, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Sumaya (Guest) on April 7, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mhina (Guest) on March 16, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Brian Karanja (Guest) on March 14, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on February 19, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Dorothy Nkya (Guest) on February 16, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Selemani (Guest) on February 11, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Ndoto (Guest) on February 5, 2024

πŸ˜† Kali sana!

Elizabeth Malima (Guest) on January 21, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Faiza (Guest) on January 7, 2024

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Daniel Obura (Guest) on January 4, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on January 1, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Benjamin Kibicho (Guest) on December 17, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on November 30, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on November 25, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

James Malima (Guest) on November 7, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

David Kawawa (Guest) on October 14, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on September 9, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on September 1, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Tibaijuka (Guest) on August 31, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Jane Muthui (Guest) on August 23, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on July 14, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Yusuf (Guest) on May 24, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Rukia (Guest) on May 20, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Andrew Mchome (Guest) on May 19, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on May 17, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Mahiga (Guest) on May 13, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nancy Komba (Guest) on April 17, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Henry Mollel (Guest) on April 16, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Anna Mahiga (Guest) on April 2, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on March 29, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Shani (Guest) on March 27, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Victor Sokoine (Guest) on March 27, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on March 26, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Edward Chepkoech (Guest) on March 7, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mrope (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mbithe (Guest) on January 18, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 10, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Sharon Kibiru (Guest) on December 25, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Rose Waithera (Guest) on December 21, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on December 15, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Esther Cheruiyot (Guest) on October 24, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mary Kendi (Guest) on October 21, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Khamis (Guest) on October 12, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Mwinuka (Guest) on September 7, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Ruth Mtangi (Guest) on July 9, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zawadi (Guest) on July 9, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Simon Kiprono (Guest) on May 12, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Agnes Njeri (Guest) on April 26, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on April 8, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joseph Kitine (Guest) on March 27, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on March 24, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Related Posts

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

πŸ“– Explore More Articles