Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Featured Image

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18.

Wakati fundi anaendelea na kazi kumbe mmeo huyu dada alishafika. hakutaka kumjulisha mkeo, kwa nia nzuri tu ya kumfanyia suprise, kwani alikuja na mazaga zaga kibao. Hiyo aliingia kwa kunyatia hadi kwenye mlango wa chumbani kwao. Ghafla akasikia mazungumzo ya mkeo na fundi ndani. Mazungumzo yalikuwaje? fuatilia hapa chini

Mama X: Fanya haraka mme wangu amekaribia
Fundi: Nakaribia kumaliza, nisaidie kuchomeka vizuri upande wako (akikusudia chaga)
Mama X: Mbona haiingii
Fundi: Ingiza kwa upande upande
Mama X: Sukuma kwa nguvu
Fundi: Angalia usiumie
Mama X: Hamna shida imeingia

Wakati jamaa akiendelea kusikiliza mlangoni, fundi akaweza godoro juu ya kitanda na mama x akajitupa kitandani kujaribu kama kimetengamaa. mara chaga akachomoka na kuanguaka chini. Nini kilifuata

Mama x: Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiii(miguno) "my God, mbona hivi"
Fundi : Pole sana
Mama X: sasa?
Fundi: Ngoja nichomeke tena
Mama X: Yaan wewe, utaacha mme wangu afike hatujamaliza
Fundi: Usijali namaliza sasa hivi

Baada ya dakika chache, fundi akamuaga mama na kumwambia tayari, sasa naona umefurahi. Kutoka tu mlangoni akakutana uso kwa uso na jamaa amekunja ndita kama matuta ya viatu. Gues what happened?

Kitu gani kitatokea kisia toa maoni yako kama ni ww ungefanyaje?

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Tibaijuka (Guest) on June 1, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on May 25, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nassar (Guest) on May 3, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Agnes Lowassa (Guest) on April 28, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

David Musyoka (Guest) on April 28, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Michael Onyango (Guest) on April 5, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 1, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Elizabeth Mrema (Guest) on March 16, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on March 3, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Faiza (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Hellen Nduta (Guest) on February 1, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Andrew Mchome (Guest) on January 27, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on December 4, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on November 10, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Mary Mrope (Guest) on October 31, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Martin Otieno (Guest) on October 29, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on September 15, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on September 2, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Joseph Njoroge (Guest) on August 23, 2016

🀣πŸ”₯😊

Michael Mboya (Guest) on August 15, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on August 10, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on July 24, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on July 7, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on July 1, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Malecela (Guest) on June 14, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Lydia Wanyama (Guest) on June 12, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on May 31, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mwanaisha (Guest) on May 28, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mwagonda (Guest) on May 26, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Lucy Mahiga (Guest) on May 20, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Alice Mwikali (Guest) on May 20, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Peter Otieno (Guest) on May 16, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Salima (Guest) on May 11, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Halimah (Guest) on March 7, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Chris Okello (Guest) on February 20, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on February 12, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on January 9, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Alice Wanjiru (Guest) on December 31, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Nyalandu (Guest) on December 14, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on November 15, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Lydia Mutheu (Guest) on November 11, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Victor Malima (Guest) on November 6, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nassor (Guest) on November 6, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alex Nyamweya (Guest) on November 6, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on September 30, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on September 29, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on September 28, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Mrope (Guest) on September 14, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ann Wambui (Guest) on July 16, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Salum (Guest) on July 12, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Mwajuma (Guest) on July 5, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

James Kimani (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on May 2, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on April 29, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Masika (Guest) on April 12, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Lydia Mahiga (Guest) on April 4, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More