Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?
Msichana: Baba kaniambia.

Mama: ok. Sababu ya pili?
Msichana: Napasi nguo vizuri kuliko wewe

Mama: Nani kakuambia na hili?

Msichana: Baba pia kaniambia

Mama: ok, na sababu ya tatu?

Msichana: Najitahidi kitandani kuliko wewe.

(Hapa mama kaonekana kutaka kujua zaidi na akawa tayari kujiandaa kumrukia akate kichwa cha binti mara moja)

Mama: Mume wangu kakuambia na hili pia?

Msichana: Hapana ni Shamba boy kaniambia mimi najitahidi kitandani kuliko wewe.

Mama: Tafadhali punguza sauti baba yako asisikie. Nitakupandishia mshahara wako mara tatu…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jamila (Guest) on October 22, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

John Mushi (Guest) on October 13, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on September 23, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on September 20, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jackson Makori (Guest) on September 18, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on September 5, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on August 24, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Agnes Njeri (Guest) on June 18, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Paul Kamau (Guest) on June 14, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on June 1, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Lucy Mushi (Guest) on May 21, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Rose Mwinuka (Guest) on May 18, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mwalimu (Guest) on May 4, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Mallya (Guest) on April 24, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on April 8, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Faiza (Guest) on March 29, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Habiba (Guest) on March 26, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Wairimu (Guest) on March 13, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on March 11, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Tabu (Guest) on February 22, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Joseph Njoroge (Guest) on February 7, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Grace Njuguna (Guest) on February 7, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rahma (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Umi (Guest) on January 20, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on January 13, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Francis Mrope (Guest) on January 3, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on December 25, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on December 20, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Yahya (Guest) on December 13, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joyce Aoko (Guest) on November 27, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on October 23, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Habiba (Guest) on September 30, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Leila (Guest) on September 30, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ruth Mtangi (Guest) on September 20, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on September 9, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Sharon Kibiru (Guest) on July 1, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on June 9, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Ruth Wanjiku (Guest) on May 1, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on April 14, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on April 7, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on February 28, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Nashon (Guest) on February 21, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ruth Wanjiku (Guest) on February 11, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Irene Akoth (Guest) on December 6, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Charles Mboje (Guest) on December 2, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Amir (Guest) on November 28, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Biashara (Guest) on November 4, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

John Malisa (Guest) on October 15, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

George Ndungu (Guest) on October 12, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nuru (Guest) on October 12, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Stephen Malecela (Guest) on September 3, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rukia (Guest) on September 1, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Hellen Nduta (Guest) on July 27, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Farida (Guest) on April 16, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Agnes Sumaye (Guest) on April 10, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

πŸ“– Explore More Articles