Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=. Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia? Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui. Na yeye akamuuliza Mzungu ni kitu gani kikienda juu kina miguu minne na kikirudi chini kina miguu mitatu? Mzungu akafikiria akakosa jibu akatoa 100,000/= kuashiria hajui ila akataka kujua, akauliza ni nini hicho? Mbongo akatoa 500 kuashiria hata yeye hajui!. SHARE na marafiki kama umemkubali Mbongo kwa ujanja. Lakini unafikiri Mbongo huyu kwa akili hizi atakuwa ametokea mkoa gani!?.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Zubeida (Guest) on June 18, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 18, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Joyce Mussa (Guest) on June 8, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on June 3, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 3, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on June 1, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Hellen Nduta (Guest) on May 25, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on April 21, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mchuma (Guest) on March 26, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Patrick Mutua (Guest) on March 15, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on March 9, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mgeni (Guest) on March 7, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Amukowa (Guest) on February 10, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on January 19, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Jane Muthui (Guest) on January 10, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on January 1, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on December 19, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Mwachumu (Guest) on December 5, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Njoroge (Guest) on November 28, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Faith Kariuki (Guest) on November 26, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Daniel Obura (Guest) on October 19, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on October 7, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Tambwe (Guest) on October 6, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Esther Nyambura (Guest) on September 24, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on September 15, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on September 14, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on August 15, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on July 10, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mwanakhamis (Guest) on July 4, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

George Ndungu (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Monica Lissu (Guest) on June 17, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Frank Sokoine (Guest) on June 13, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on May 30, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rabia (Guest) on May 26, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on May 24, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

David Chacha (Guest) on May 15, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Michael Onyango (Guest) on May 2, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on April 24, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on April 18, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on February 20, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Monica Nyalandu (Guest) on February 16, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Aziza (Guest) on January 25, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Daudi (Guest) on January 14, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mrope (Guest) on November 17, 2015

🀣πŸ”₯😊

James Mduma (Guest) on October 31, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on October 10, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 5, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on June 29, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Henry Mollel (Guest) on June 28, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanajuma (Guest) on June 2, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mary Sokoine (Guest) on May 26, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Benjamin Kibicho (Guest) on May 22, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joy Wacera (Guest) on April 17, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Frank Sokoine (Guest) on April 15, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on April 5, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About