Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Featured Image
Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo zako na…….. Kabla hajamalizia sentensi simu ya mkewe ikaita, kumbe alikuwa ni baba yake. Basi mzee akaanza kuongea na binti yake huku jamaa anasikia "Aisee mwanangu nimebahatika kuuza ile nyumba yangu sasa nimeona niwatumie milioni 20 mjaribu kuanzisha mradi na mwenzio. Haya mwambie yeye nitampigia kesho kama ana mradi mwingine nimpe hela kidogo".Baada ya simu kukatwa mke akamgeukia jamaa akamuuliza,"eeenhee!!! ulikuwa unasema umenichoka nikusanye nguo zangu halafu iweje? Jamaa kwa upole akajibu "Nilikuwa nasema ukusanye nguo zako na unipe nifue".
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Mrema (Guest) on December 14, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on December 14, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on December 6, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Dorothy Nkya (Guest) on November 28, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Salima (Guest) on November 26, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on November 19, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Michael Mboya (Guest) on November 18, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

James Kawawa (Guest) on November 15, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on October 18, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on September 29, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Mkumbo (Guest) on September 23, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on September 23, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Issack (Guest) on September 10, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Agnes Lowassa (Guest) on August 21, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on August 3, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on August 3, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on August 1, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on June 28, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Charles Mrope (Guest) on June 27, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nancy Kawawa (Guest) on June 26, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on June 25, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Monica Lissu (Guest) on June 14, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on June 2, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Betty Cheruiyot (Guest) on May 25, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

James Malima (Guest) on May 20, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Alex Nakitare (Guest) on May 7, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Esther Cheruiyot (Guest) on April 19, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Samuel Were (Guest) on March 26, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Kassim (Guest) on March 23, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Jackson Makori (Guest) on March 17, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Mary Kidata (Guest) on February 27, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Samuel Omondi (Guest) on February 18, 2016

Asante Ackyshine

Shabani (Guest) on February 2, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Tambwe (Guest) on January 29, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

John Malisa (Guest) on January 28, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Joseph Kawawa (Guest) on January 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on December 27, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on December 22, 2015

🀣πŸ”₯😊

George Ndungu (Guest) on December 12, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 4, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Fatuma (Guest) on November 26, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Grace Mushi (Guest) on November 8, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on October 10, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

John Lissu (Guest) on October 6, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on September 19, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on September 7, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on August 14, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on August 9, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Khamis (Guest) on July 21, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Fikiri (Guest) on July 16, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Raphael Okoth (Guest) on July 10, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nancy Kabura (Guest) on June 30, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on June 17, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 4, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Stephen Kikwete (Guest) on May 19, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on May 11, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Related Posts

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
πŸ“– Explore More Articles