Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali.
Siku hiyo Bakari alikua jikoni, boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss: Bakariiii!
Bakari: Naam baba!
Boss: nani anakunywa wine yangu?
Bakari kimyaaaa hajibu kitu!
Boss: Bakariiiii !
Bakari: naam baba!
Boss: nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?

Boss kimyaaaa!
Bakari: Baba babaa!
Boss:ndio Bakari!
Bakari: Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?

Boss kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!

Mke wa Boss akaingilia kati
Mama: nyie msinitanie kabisa mnasemaje?
Bakari: kweli mama ukiwa jikoni husikii kitu nenda uone

Mama akaenda na Bakari akaanza

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeee!
Bakari: hebu niambie hiyo mimba ni ya baba au yangu?
Mama kimya

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeeee!
Bakari: hebu niambie ukweli hiyo mimba ni ya baba au yangu??
Mama kimya

Mama akatoka nje: kweli humu jikoni kuna tatizo nilikuwa nasikia jina tu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Stephen Kikwete (Guest) on May 24, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Grace Wairimu (Guest) on May 23, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on May 18, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Elijah Mutua (Guest) on May 15, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Victor Sokoine (Guest) on May 14, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Victor Malima (Guest) on April 20, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Alex Nyamweya (Guest) on April 10, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

James Kimani (Guest) on April 9, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Arifa (Guest) on April 7, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Yusuf (Guest) on March 2, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Musyoka (Guest) on February 22, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Omar (Guest) on February 10, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Anna Sumari (Guest) on February 2, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 24, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on January 11, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on December 21, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Azima (Guest) on December 16, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Edith Cherotich (Guest) on November 21, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on October 15, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on October 12, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on October 9, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joy Wacera (Guest) on September 15, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Abdillah (Guest) on June 21, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Samuel Were (Guest) on June 6, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on June 5, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

David Chacha (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Sarah Achieng (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Diana Mallya (Guest) on April 2, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on March 27, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Lucy Mahiga (Guest) on March 13, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Susan Wangari (Guest) on February 10, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Joyce Nkya (Guest) on February 2, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on January 4, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Patrick Kidata (Guest) on December 8, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on November 28, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Hellen Nduta (Guest) on November 28, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Majid (Guest) on November 1, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Christopher Oloo (Guest) on October 28, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on October 25, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Nora Lowassa (Guest) on October 6, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on October 5, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Agnes Sumaye (Guest) on September 27, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on September 24, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nancy Komba (Guest) on September 24, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ann Awino (Guest) on September 20, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Furaha (Guest) on September 12, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

James Malima (Guest) on August 25, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Catherine Naliaka (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Joseph Kawawa (Guest) on August 3, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on July 22, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on July 12, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Wilson Ombati (Guest) on July 11, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on July 1, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on June 11, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mwakisu (Guest) on May 31, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

John Lissu (Guest) on April 29, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Rukia (Guest) on April 17, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Related Posts

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

πŸ“– Explore More Articles