Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Featured Image

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Linda Karimi (Guest) on May 29, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Margaret Mahiga (Guest) on May 29, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on May 25, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Anna Malela (Guest) on May 22, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Shamsa (Guest) on April 30, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Nora Kidata (Guest) on April 15, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on April 4, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on March 20, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on March 14, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on February 17, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on February 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Moses Mwita (Guest) on February 13, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Diana Mallya (Guest) on January 14, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on January 13, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on December 8, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Safiya (Guest) on November 23, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Lydia Wanyama (Guest) on November 11, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Mbithe (Guest) on October 20, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on October 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwafirika (Guest) on October 9, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

James Kawawa (Guest) on October 5, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on October 1, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Elizabeth Malima (Guest) on September 17, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on August 26, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on August 13, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Yusuf (Guest) on July 10, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mariam Hassan (Guest) on July 8, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Vincent Mwangangi (Guest) on June 4, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on May 29, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on May 27, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Omar (Guest) on May 20, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on May 17, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Rehema (Guest) on March 18, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Ann Wambui (Guest) on February 19, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Josephine (Guest) on February 3, 2019

Asante Ackyshine

Margaret Anyango (Guest) on February 1, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 18, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on January 9, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mwafirika (Guest) on December 10, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Minja (Guest) on November 9, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on October 25, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Daniel Obura (Guest) on October 18, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Kahina (Guest) on October 14, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nora Lowassa (Guest) on October 11, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on October 9, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on October 2, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Diana Mumbua (Guest) on September 11, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Kikwete (Guest) on August 28, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 9, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Charles Mchome (Guest) on June 11, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Issack (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

David Chacha (Guest) on May 14, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kazija (Guest) on April 15, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Charles Mrope (Guest) on April 8, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Charles Mrope (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Zakia (Guest) on April 3, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Robert Okello (Guest) on February 25, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on January 18, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Anna Malela (Guest) on December 1, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on November 25, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

πŸ“– Explore More Articles