Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Featured Image

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Linda Karimi (Guest) on May 29, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Margaret Mahiga (Guest) on May 29, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on May 25, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Anna Malela (Guest) on May 22, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Shamsa (Guest) on April 30, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Nora Kidata (Guest) on April 15, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on April 4, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on March 20, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on March 14, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on February 17, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on February 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Moses Mwita (Guest) on February 13, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Diana Mallya (Guest) on January 14, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on January 13, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on December 8, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Safiya (Guest) on November 23, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Lydia Wanyama (Guest) on November 11, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Mbithe (Guest) on October 20, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on October 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwafirika (Guest) on October 9, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

James Kawawa (Guest) on October 5, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on October 1, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Elizabeth Malima (Guest) on September 17, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on August 26, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on August 13, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Yusuf (Guest) on July 10, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mariam Hassan (Guest) on July 8, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Vincent Mwangangi (Guest) on June 4, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on May 29, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on May 27, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Omar (Guest) on May 20, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on May 17, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Rehema (Guest) on March 18, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Ann Wambui (Guest) on February 19, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Josephine (Guest) on February 3, 2019

Asante Ackyshine

Margaret Anyango (Guest) on February 1, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 18, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on January 9, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mwafirika (Guest) on December 10, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Minja (Guest) on November 9, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on October 25, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Daniel Obura (Guest) on October 18, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Kahina (Guest) on October 14, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nora Lowassa (Guest) on October 11, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on October 9, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on October 2, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Diana Mumbua (Guest) on September 11, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Kikwete (Guest) on August 28, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 9, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Charles Mchome (Guest) on June 11, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Issack (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

David Chacha (Guest) on May 14, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kazija (Guest) on April 15, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Charles Mrope (Guest) on April 8, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Charles Mrope (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Zakia (Guest) on April 3, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Robert Okello (Guest) on February 25, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on January 18, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Anna Malela (Guest) on December 1, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on November 25, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

πŸ“– Explore More Articles