Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Featured Image

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatuonani mzee, mishe vipi, mnatunyima nini? Juzi nimekuona kwa mbaaali… mzee shavu dodo, full kipupwe! Sie tupo bwana, shida tu, afu misiba mingi tu, wife nae kajifungua ghafla. Sasa, kuna cheque naisubiri haijatoka hadi leo, wanasema itatoka next week, hapa nimekwama kweli. Naweza pata 'Laki Moja' ya karibu hapo nitarudisha mwisho wa mwezi…?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Irene Akoth (Guest) on July 30, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Abdullah (Guest) on July 22, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Thomas Mtaki (Guest) on July 16, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Latifa (Guest) on July 7, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Michael Mboya (Guest) on June 30, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Sarah Mbise (Guest) on June 16, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on June 12, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on June 3, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 30, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on May 24, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Kijakazi (Guest) on May 1, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Agnes Lowassa (Guest) on April 12, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Joy Wacera (Guest) on April 10, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on March 23, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Monica Adhiambo (Guest) on February 24, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mwanais (Guest) on December 11, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Jane Malecela (Guest) on December 3, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Zakia (Guest) on November 28, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Janet Mbithe (Guest) on November 11, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 8, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Issack (Guest) on October 19, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Nancy Akumu (Guest) on September 22, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Issack (Guest) on September 21, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Arifa (Guest) on August 26, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Mohamed (Guest) on August 23, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lucy Mahiga (Guest) on August 14, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on July 24, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on July 17, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Stephen Malecela (Guest) on June 9, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on June 9, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Monica Adhiambo (Guest) on June 6, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Lowassa (Guest) on May 20, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on May 15, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sarafina (Guest) on April 25, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Peter Mugendi (Guest) on April 16, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Amir (Guest) on March 28, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Joseph Kitine (Guest) on March 25, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on March 11, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on February 21, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mazrui (Guest) on February 18, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Francis Mtangi (Guest) on January 20, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Sumari (Guest) on January 2, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on December 12, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on December 11, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Esther Cheruiyot (Guest) on November 26, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nuru (Guest) on November 11, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rose Amukowa (Guest) on October 28, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on October 27, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on October 7, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Victor Malima (Guest) on September 19, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on September 7, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

John Mushi (Guest) on September 5, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on August 28, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Esther Nyambura (Guest) on August 16, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Zulekha (Guest) on August 2, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Peter Mbise (Guest) on July 31, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

James Kawawa (Guest) on July 11, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on June 28, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nashon (Guest) on June 13, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Related Posts

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About