Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Featured Image

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ˜€
Mimi ni msomaji mzuri wa magazeti, na msikilizaji mzuri wa redio, huwa naangalia luninga mara chache sana kama nikibahatika kupita mahala kuna luninga. Sasa wiki hii nimesikia mengi kuhusu hizi ziara za kushtukiza za viongozi wetu, nikaona hili ni jambo zuri tena linafaa kuigwa na sisi wananchi wapenda maendeleo. Nikaona nijipange na mimi nifanye ziara kadhaa za kushtukiza katika sehemu mbalimbali zinazonihusu.

Nikaona nianze na ziara ya kushtukiza pale shuleni kwa huyu mwanangu, maana kila siku anakunywa chai na kuondoka na daftari zake na mie sijawahi kwenda shuleni kwao toka nilipomuandikisha shule mwezi Januari. Nilifika shuleni na kumuona mwalimu mkuu, ambae alianza kutetemeka nilipomuambia kuwa nimekuja pale kwa ziara ya kustukiza, sijui alidhani mi ni mmoja wa Mawaziri wapya, maana nilimuona jasho linamtiririka ghafla. Akanikaribisha ofisi yake iliyokuwa na vitabu kila kona, na kuita waalimu wote na kunitambulisha kuwa ni kiongozi nimekuja kwenye ziara ya kustukiza.

Nilipojitambulisha kuwa ni mzazi, waalimu wote nikawaona waanza kupumua kwa raha. Nikawaambia kuwa mimi nina mwanafunzi pale na nilikuja ziara ya kustukiza kujua maendeleo yake. Baada ya mwalimu mkuu kusaka jina la mwanangu nae akanambia, β€œMzee huyu mtoto hajaja shule mwezi wa tatu sasa, tulijaribu kukutafuta ikashindikana, hatujui yu wapi” Jasho likaanza kunitoka mimi, yule mtoto kila asubuhi nampa nauli anaenda shule, na mara nyingi ananiomba michango kumbe hata shule haji. Niliondoka bila kuaga presha ikiwa juu.

Nikaona niende kwenye genge la mke wangu nae nikamfanyie ziara ya ghafla nimhadithie mambo ya mwanae, nilipofika pale nikakuta kuna mdada mwingine anauza genge. Nikamsalimu, na kumuuliza mwenye genge ntampataje, jibu lake lingeniua kama ningekuwa si mkakamavu, β€œMume wake kaja kumchukua na gari wameenda kununua shamba Bagamoyo”. Nikaondoka nimechanganyikiwa, nikajuwa hapa dawa yangu moja tu, nayo ni Sabrina, mtoto wa Kinyaturu pale ambapo nikipata maudhi huwa naenda kubembelezwa.

Nikatwanga mguu kwa Sabrina nae nikamfanyie ziara ya ghafla ili anipoze moyo. Nilipogonga mlango wa chumba chake akatoka mbaba wa miraba minne, akanisalimia kwa upole, β€œSalama kaka unasemaje?” Jibu likanitoka β€œSamahani mie nilimkopesha huyu dada wa chumba hiki vitenge, nilikuja kuuliza kama ameshapata hela yangu” Ziara za kushtukiza zinataka moyo wa chuma jamani

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Moses Mwita (Guest) on September 7, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Rahim (Guest) on September 4, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

John Lissu (Guest) on July 16, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Moses Mwita (Guest) on May 31, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Fatuma (Guest) on May 20, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Irene Makena (Guest) on May 14, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on May 3, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

David Nyerere (Guest) on April 8, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on February 16, 2019

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on February 13, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Binti (Guest) on February 11, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mwajabu (Guest) on February 8, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joseph Njoroge (Guest) on November 19, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on November 14, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Thomas Mtaki (Guest) on November 2, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on October 30, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Samson Mahiga (Guest) on October 17, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on October 10, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on October 7, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on October 1, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on October 1, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Moses Kipkemboi (Guest) on August 3, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

David Ochieng (Guest) on August 1, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Philip Nyaga (Guest) on July 27, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on July 8, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on June 30, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Selemani (Guest) on June 26, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Brian Karanja (Guest) on June 26, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on June 18, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

George Mallya (Guest) on May 23, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on May 4, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

David Kawawa (Guest) on May 2, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on April 20, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Halimah (Guest) on April 5, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

David Sokoine (Guest) on March 1, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mwagonda (Guest) on February 11, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Nora Kidata (Guest) on January 17, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kheri (Guest) on January 16, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Samuel Omondi (Guest) on December 26, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Elizabeth Mrope (Guest) on December 4, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Arifa (Guest) on November 8, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Alex Nyamweya (Guest) on October 24, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Husna (Guest) on October 3, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Philip Nyaga (Guest) on September 15, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Stephen Mushi (Guest) on September 10, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mgeni (Guest) on September 5, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Wilson Ombati (Guest) on August 24, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on July 24, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Philip Nyaga (Guest) on July 17, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Michael Mboya (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on May 31, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Azima (Guest) on May 31, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Sharon Kibiru (Guest) on May 27, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Dorothy Nkya (Guest) on May 17, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on April 27, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Emily Chepngeno (Guest) on April 15, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

James Kawawa (Guest) on April 14, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on April 10, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on March 30, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on March 1, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About