Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hali za ndoa

Featured Image
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, akamwambia baba yake akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa babaake, mwisho babaake akamwambia basi ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu! Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha kikao cha ndugu wote pande 2, Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu alipoolewa ndo kijana wetu atapona! Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote! Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana, mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia wanaume peke yao! Mzee akamwambia mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo? Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani umejionea hali halisi. Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako! Kijana akazimia! SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joy Wacera (Guest) on May 25, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on May 18, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Wilson Ombati (Guest) on March 13, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on February 20, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mariam Kawawa (Guest) on January 4, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on December 17, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Martin Otieno (Guest) on December 5, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on November 7, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Betty Cheruiyot (Guest) on October 20, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on September 6, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Omar (Guest) on August 22, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on August 19, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

John Mushi (Guest) on August 13, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on July 27, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Peter Mwambui (Guest) on July 11, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Rose Lowassa (Guest) on June 29, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 22, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Fikiri (Guest) on June 18, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Mwalimu (Guest) on June 10, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on April 16, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mary Kendi (Guest) on January 27, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Kevin Maina (Guest) on January 17, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 10, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on January 5, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on December 2, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on November 18, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

John Lissu (Guest) on November 12, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Jabir (Guest) on September 25, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Ruth Wanjiku (Guest) on September 24, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Janet Mbithe (Guest) on September 13, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Emily Chepngeno (Guest) on August 9, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Grace Mligo (Guest) on August 6, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on August 5, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nancy Akumu (Guest) on August 4, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Janet Wambura (Guest) on July 6, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Halimah (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nyota (Guest) on May 18, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on May 5, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Patrick Akech (Guest) on April 27, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on April 20, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Maida (Guest) on April 20, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on April 17, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on April 13, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on March 15, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on February 13, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Mwanakhamis (Guest) on February 7, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anthony Kariuki (Guest) on January 19, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 8, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Njuguna (Guest) on January 2, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Yahya (Guest) on December 31, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

Patrick Kidata (Guest) on November 28, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Tabitha Okumu (Guest) on November 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on November 5, 2017

Asante Ackyshine

Lydia Mahiga (Guest) on November 5, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on October 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on September 25, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on September 10, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Binti (Guest) on September 1, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jaffar (Guest) on August 31, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Related Posts

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

πŸ“– Explore More Articles