Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa. Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao. Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana. Wakaingia msituni kila mtu njia yake. … Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa. Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini… alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa. Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, β€œVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?” Mkenya akamjibu: β€œMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!”
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Wambura (Guest) on November 27, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on November 9, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Grace Mushi (Guest) on September 14, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Anna Mahiga (Guest) on September 12, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Kazija (Guest) on September 2, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Akinyi (Guest) on September 1, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Sarafina (Guest) on August 16, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Joseph Kawawa (Guest) on August 12, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Betty Kimaro (Guest) on July 30, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Betty Cheruiyot (Guest) on July 15, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on June 17, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on March 4, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Peter Otieno (Guest) on March 3, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on February 15, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on February 10, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on January 24, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Daniel Obura (Guest) on January 17, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Edwin Ndambuki (Guest) on December 4, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Kevin Maina (Guest) on December 3, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on November 11, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Susan Wangari (Guest) on October 21, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Malecela (Guest) on October 13, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Ochieng (Guest) on October 12, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Tabu (Guest) on September 29, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on September 17, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Peter Mbise (Guest) on August 22, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on August 12, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on August 10, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

David Chacha (Guest) on August 5, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on August 4, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mazrui (Guest) on July 31, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Grace Wairimu (Guest) on July 23, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on July 22, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on July 5, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Agnes Sumaye (Guest) on May 24, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Tibaijuka (Guest) on May 17, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Victor Sokoine (Guest) on April 18, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on March 24, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on March 24, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on March 20, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Omari (Guest) on February 7, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Yahya (Guest) on February 4, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Rahma (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Jane Muthui (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

David Chacha (Guest) on January 6, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Chacha (Guest) on January 2, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwanais (Guest) on December 27, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nuru (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lucy Mahiga (Guest) on December 17, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Masika (Guest) on November 25, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joseph Kitine (Guest) on October 23, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on September 15, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Mussa (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alice Jebet (Guest) on August 3, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on July 22, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on May 26, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nancy Kawawa (Guest) on April 4, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on March 28, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Kiwanga (Guest) on March 27, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Sokoine (Guest) on February 26, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

πŸ“– Explore More Articles