Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.

Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, No….. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.

Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendelea…..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanza…
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last month…

Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea… Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.

Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.

Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.

Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita…!!!

Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje…???

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joyce Mussa (Guest) on January 26, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on January 19, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on December 16, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Peter Otieno (Guest) on December 13, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Tabitha Okumu (Guest) on November 29, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on November 15, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Ndungu (Guest) on November 9, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Samuel Omondi (Guest) on October 27, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on October 19, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on October 12, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Elizabeth Mtei (Guest) on October 10, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mohamed (Guest) on September 16, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Ruth Mtangi (Guest) on September 1, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Rose Mwinuka (Guest) on August 25, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Ann Wambui (Guest) on August 10, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on August 9, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

David Nyerere (Guest) on July 23, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on July 20, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on June 25, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on June 15, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on June 12, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Frank Sokoine (Guest) on May 5, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Elizabeth Mtei (Guest) on April 26, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

James Mduma (Guest) on April 19, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Hassan (Guest) on March 10, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Alex Nakitare (Guest) on March 8, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sarah Karani (Guest) on March 7, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on February 28, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Francis Mrope (Guest) on January 30, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Zakia (Guest) on January 22, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Rahim (Guest) on January 5, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Dorothy Nkya (Guest) on December 24, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Philip Nyaga (Guest) on December 18, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Ochieng (Guest) on December 17, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kidata (Guest) on November 13, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on November 1, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on October 20, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on October 3, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on September 11, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Victor Mwalimu (Guest) on August 31, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on August 22, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Wairimu (Guest) on August 19, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

George Wanjala (Guest) on August 6, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on June 23, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Jane Malecela (Guest) on June 15, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on June 6, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Raphael Okoth (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Alice Wanjiru (Guest) on March 21, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Robert Okello (Guest) on March 18, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Farida (Guest) on March 18, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Margaret Anyango (Guest) on March 17, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lucy Mushi (Guest) on March 17, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Carol Nyakio (Guest) on February 13, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on February 7, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joseph Kitine (Guest) on February 2, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on January 4, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on December 26, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on December 10, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Mbise (Guest) on November 30, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Related Posts

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About