Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Featured Image

Binti:Β Hallow mpenzi, Mambo

Jamaa:Β Poa baby

Binti:Uko wapi?

Jamaa: Niko town napata lunch

Binti:Β Wow unarudi saa ngap? Nina njaa dear naomba uniletee msosi

Jamaa:Β Narudi baada ya nusu saa nikuletee nini?

Binti:Β Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne ya kukaangwa pembeni, baga, piza, coke take away baridi, mkate wa moto kwenye ile bekari ya wapemba na maji ya kunywa ya kiimanjaro.

Jamaa:Umesahau viti, meza, masufuria, sahani na beseni na vijiko.

Binti:Β Kwanini dear?

Jamaa:Β Naona hutaki kula unataka kufungua hoteli!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mariam Kawawa (Guest) on February 6, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Rehema (Guest) on February 1, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Mchome (Guest) on January 21, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Furaha (Guest) on January 12, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Josephine Nekesa (Guest) on January 4, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Masika (Guest) on January 3, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Kitine (Guest) on October 12, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Athumani (Guest) on September 29, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Kassim (Guest) on September 20, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Victor Mwalimu (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on September 6, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

John Kamande (Guest) on August 24, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Zakia (Guest) on August 20, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Betty Cheruiyot (Guest) on August 10, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Farida (Guest) on August 6, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Peter Mwambui (Guest) on August 3, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

James Kimani (Guest) on July 28, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Maida (Guest) on June 28, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Hekima (Guest) on June 28, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Elizabeth Mrope (Guest) on June 3, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on June 2, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Henry Mollel (Guest) on May 13, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Maimuna (Guest) on March 22, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Francis Mtangi (Guest) on March 18, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nora Lowassa (Guest) on February 28, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on February 23, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Alice Mwikali (Guest) on February 4, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on January 20, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on January 8, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on January 2, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on December 23, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on December 18, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jabir (Guest) on November 1, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mugendi (Guest) on October 27, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Bahati (Guest) on October 26, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Benjamin Kibicho (Guest) on September 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on August 11, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ibrahim (Guest) on August 9, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Jamal (Guest) on July 14, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Masika (Guest) on July 8, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mwanakhamis (Guest) on May 12, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lucy Mahiga (Guest) on April 16, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on April 6, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rahim (Guest) on April 6, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rabia (Guest) on March 26, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mwachumu (Guest) on March 10, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Linda Karimi (Guest) on March 8, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Mushi (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwanaidha (Guest) on February 17, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

James Kawawa (Guest) on February 14, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on January 13, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

George Mallya (Guest) on January 7, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Mushi (Guest) on December 19, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Zakaria (Guest) on December 18, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Mwangi (Guest) on December 14, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on December 5, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ndoto (Guest) on December 1, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on November 20, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Edwin Ndambuki (Guest) on November 14, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on November 3, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Related Posts

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More