Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Featured Image

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji kutoka Bulgaria, Mahubiri yameanza saa 1 asubuhi hali ikawa kama hivi:

MCHUNGAJI: My name is Pastor Livingstone
MKALIMANi: Kwa jina naitwa mchungaji Jiwe linaloishi
MCHUNGAJI: We thank God for All goals we set by our hands
MKALIMANI: Tunamshukuru Mungu kwa Magoli yote tuliyoweka kwa Mkono

Hivi navyoongea kanisa halina viti waumini wote tumekimbia nje naona Mkalimani amebaki na kiatu cha kushoto tu.
Sunday joke

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lucy Mahiga (Guest) on July 1, 2019

😊🀣πŸ”₯

James Kawawa (Guest) on June 24, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Samson Tibaijuka (Guest) on June 9, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on May 20, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on May 19, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rahma (Guest) on May 3, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 28, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on April 24, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on March 28, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

James Mduma (Guest) on March 9, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on February 20, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Charles Mchome (Guest) on January 20, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Zakia (Guest) on January 11, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Robert Ndunguru (Guest) on December 29, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Leila (Guest) on December 26, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Stephen Kikwete (Guest) on December 6, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on December 4, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on November 20, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

John Mwangi (Guest) on November 12, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on November 11, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Benjamin Masanja (Guest) on November 9, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

James Malima (Guest) on October 25, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on September 26, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Nora Lowassa (Guest) on September 15, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on September 5, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Jackson Makori (Guest) on August 21, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Janet Sumaye (Guest) on August 17, 2018

🀣πŸ”₯😊

Mashaka (Guest) on August 2, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Paul Ndomba (Guest) on July 15, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on July 9, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Lucy Kimotho (Guest) on June 21, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Kiwanga (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Salima (Guest) on June 4, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Isaac Kiptoo (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mohamed (Guest) on May 5, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Zainab (Guest) on April 20, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on April 15, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on March 12, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on March 8, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on February 17, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Kijakazi (Guest) on February 17, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Kidata (Guest) on February 14, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Agnes Sumaye (Guest) on February 9, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on January 30, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Violet Mumo (Guest) on December 16, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Kimaro (Guest) on December 3, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Robert Okello (Guest) on November 22, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on November 18, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on November 9, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Lucy Kimotho (Guest) on October 15, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Muslima (Guest) on October 9, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Andrew Odhiambo (Guest) on October 3, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Betty Akinyi (Guest) on August 20, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Michael Onyango (Guest) on August 19, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

James Mduma (Guest) on August 6, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Jackson Makori (Guest) on August 5, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Kheri (Guest) on August 2, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on July 6, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on July 1, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Related Posts

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

πŸ“– Explore More Articles