Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Featured Image

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical school.

02.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa
wanafunzi walioshika nafasi ya kwanza.

03.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa tatu, wanageukia
Siasa na kuwaongoza wote hapo juu.
Yaani wa kwanza na wa pili.

04.πŸ‘‰ Wale waliofeli, wanaenda Jeshi, hawa wakigoma, basi hao wa juu
wote hawana raha.

05.πŸ‘‰ Wale waliopata Zero na waliokataa
shule wanakuwa waganga wa kienyeji,
wote hapo juu watamtafuta huyu, pale
mambo yao yanapokwenda kombo. Tuache kudharauliana, kila mtu ni boss akiwa kwenye nafasi yake.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‰πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œ

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jamal (Guest) on July 4, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Sharon Kibiru (Guest) on June 26, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on June 13, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 10, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

George Wanjala (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Guest (Guest) on August 24, 2025

malizia maneno

Lydia Wanyama (Guest) on May 3, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Maneno (Guest) on April 16, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Mashaka (Guest) on April 7, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Richard Mulwa (Guest) on March 10, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on February 9, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Kiza (Guest) on February 4, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwagonda (Guest) on January 16, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 18, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joseph Njoroge (Guest) on November 5, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on November 2, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Anna Mchome (Guest) on October 28, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Peter Mwambui (Guest) on October 15, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Joseph Kawawa (Guest) on September 26, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on September 23, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Jackson Makori (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Joseph Mallya (Guest) on September 2, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Andrew Mchome (Guest) on August 29, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joseph Kawawa (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on July 24, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Kiwanga (Guest) on July 9, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on July 8, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Selemani (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Agnes Sumaye (Guest) on June 22, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on May 9, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Kipkemboi (Guest) on April 16, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 19, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Kidata (Guest) on March 7, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on February 28, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mustafa (Guest) on February 27, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on February 13, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Lucy Mushi (Guest) on February 5, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

James Malima (Guest) on January 31, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mary Njeri (Guest) on January 18, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Robert Ndunguru (Guest) on January 14, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on December 21, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

George Tenga (Guest) on December 9, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Victor Malima (Guest) on December 5, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Dorothy Nkya (Guest) on November 18, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Betty Cheruiyot (Guest) on November 17, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Fikiri (Guest) on November 9, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Bakari (Guest) on October 23, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Amukowa (Guest) on October 9, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on September 17, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

George Tenga (Guest) on August 13, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Sarah Karani (Guest) on July 11, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on June 26, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mwafirika (Guest) on June 24, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Victor Sokoine (Guest) on June 11, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on May 30, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on April 18, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on April 1, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on March 6, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Nancy Kawawa (Guest) on February 19, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Rose Mwinuka (Guest) on February 10, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Related Posts

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

πŸ“– Explore More Articles