Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kisa cha mzaramo na mchaga

Featured Image

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=
Na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki
yako nakukuongeza laki nyingine.
MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela aiwezi mpita akaenda kutibiwa.
MZARAMO: "unaumwa nini?"
MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.."
MZARAMO: "sawa, toa laki kabisa.."
Mchaga akatoa.
MZARAMO akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.."
MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?"
MZARAMO: "Umepona karibu tena.."
Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu nasahau
sanaaaaa.."
MZARAMO akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..'
MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..'
MZARAMO: "nesi naomba kikopo no.27.."
MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?"
MZARAMO: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jamal (Guest) on May 10, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Samson Tibaijuka (Guest) on May 10, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Samuel Omondi (Guest) on April 13, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Edwin Ndambuki (Guest) on April 2, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Jacob Kiplangat (Guest) on March 31, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Selemani (Guest) on March 17, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Victor Kimario (Guest) on February 26, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Karani (Guest) on February 12, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on January 6, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Simon Kiprono (Guest) on December 29, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Bahati (Guest) on October 26, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Charles Mrope (Guest) on October 21, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Linda Karimi (Guest) on October 1, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on September 1, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on August 9, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on July 24, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Mchome (Guest) on July 21, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Azima (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Amina (Guest) on June 26, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

John Lissu (Guest) on May 14, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Joseph Mallya (Guest) on April 22, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on April 22, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on March 27, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on March 11, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rahma (Guest) on February 18, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Brian Karanja (Guest) on February 14, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on January 26, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Victor Kamau (Guest) on January 25, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 26, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on November 13, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kiwanga (Guest) on November 12, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Safiya (Guest) on October 19, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Khadija (Guest) on October 11, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on October 11, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mohamed (Guest) on October 6, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Simon Kiprono (Guest) on October 4, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on October 1, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Sarah Achieng (Guest) on September 28, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on August 3, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Josephine Nduta (Guest) on June 26, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Latifa (Guest) on June 9, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

George Mallya (Guest) on June 4, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

John Malisa (Guest) on June 3, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on April 27, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on April 20, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on April 18, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Wangui (Guest) on March 9, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Janet Sumaye (Guest) on March 2, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on March 1, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on February 20, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Philip Nyaga (Guest) on January 28, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Nora Lowassa (Guest) on January 27, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on January 7, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Abdullah (Guest) on January 7, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Diana Mumbua (Guest) on November 24, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 6, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

George Mallya (Guest) on October 16, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Amina (Guest) on July 7, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Paul Ndomba (Guest) on May 20, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on May 3, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About