Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Featured Image

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatuonani mzee, mishe vipi, mnatunyima nini? Juzi nimekuona kwa mbaaali… mzee shavu dodo, full kipupwe! Sie tupo bwana, shida tu, afu misiba mingi tu, wife nae kajifungua ghafla. Sasa, kuna cheque naisubiri haijatoka hadi leo, wanasema itatoka next week, hapa nimekwama kweli. Naweza pata 'Laki Moja' ya karibu hapo nitarudisha mwisho wa mwezi…?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lydia Mahiga (Guest) on February 19, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Latifa (Guest) on February 9, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Diana Mumbua (Guest) on February 8, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on January 21, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Rehema (Guest) on December 17, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Kawawa (Guest) on November 21, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on November 2, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Bakari (Guest) on September 28, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Yusuf (Guest) on September 12, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Malisa (Guest) on September 11, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on September 10, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Njuguna (Guest) on August 27, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on August 20, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Hellen Nduta (Guest) on July 27, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine Nekesa (Guest) on July 10, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on June 29, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

James Kawawa (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mariam (Guest) on June 27, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Philip Nyaga (Guest) on June 18, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on June 8, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Linda Karimi (Guest) on April 29, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Khatib (Guest) on April 5, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Charles Wafula (Guest) on February 6, 2021

😊🀣πŸ”₯

James Mduma (Guest) on January 23, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on January 11, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Biashara (Guest) on December 30, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Violet Mumo (Guest) on December 7, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Peter Mbise (Guest) on December 4, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on November 27, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Susan Wangari (Guest) on November 13, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Umi (Guest) on November 13, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Anna Malela (Guest) on November 5, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on October 22, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 30, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on September 22, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Martin Otieno (Guest) on August 19, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Rose Mwinuka (Guest) on August 15, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on July 30, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on July 5, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Fikiri (Guest) on June 27, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Elijah Mutua (Guest) on June 3, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Hassan (Guest) on May 10, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Margaret Mahiga (Guest) on April 17, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Maneno (Guest) on March 16, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Jafari (Guest) on March 13, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Jamila (Guest) on March 11, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nekesa (Guest) on February 24, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on February 22, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthui (Guest) on January 18, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on January 11, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on December 18, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Agnes Lowassa (Guest) on October 4, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Rubea (Guest) on October 3, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Ruth Mtangi (Guest) on October 1, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joy Wacera (Guest) on September 22, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on September 19, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on August 29, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mariam (Guest) on August 24, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Victor Mwalimu (Guest) on August 11, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Related Posts

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About