Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hali za ndoa

Featured Image
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, akamwambia baba yake akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa babaake, mwisho babaake akamwambia basi ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu! Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha kikao cha ndugu wote pande 2, Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu alipoolewa ndo kijana wetu atapona! Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote! Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana, mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia wanaume peke yao! Mzee akamwambia mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo? Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani umejionea hali halisi. Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako! Kijana akazimia! SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ruth Kibona (Guest) on August 4, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Anna Sumari (Guest) on July 15, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Anna Malela (Guest) on July 15, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Nchi (Guest) on July 2, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on June 30, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

David Kawawa (Guest) on May 19, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on May 13, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mwanahawa (Guest) on April 25, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

James Malima (Guest) on April 24, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rehema (Guest) on April 22, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on March 26, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Hellen Nduta (Guest) on March 17, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Rahim (Guest) on March 5, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Martin Otieno (Guest) on February 27, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on February 26, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Peter Mbise (Guest) on February 21, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on February 1, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Ibrahim (Guest) on January 18, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Monica Lissu (Guest) on December 22, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on November 29, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Ndoto (Guest) on November 24, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Nkya (Guest) on November 23, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on November 20, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nora Kidata (Guest) on November 20, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on October 10, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on October 4, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwajuma (Guest) on September 5, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nancy Akumu (Guest) on September 1, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nancy Kawawa (Guest) on July 6, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mariam Hassan (Guest) on June 27, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on June 19, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nora Kidata (Guest) on June 3, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on May 23, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on May 22, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on May 12, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Anna Mahiga (Guest) on April 17, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

James Kimani (Guest) on April 17, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Monica Lissu (Guest) on March 22, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Jane Muthoni (Guest) on March 6, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Betty Akinyi (Guest) on March 2, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Salma (Guest) on February 27, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 10, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on January 21, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on January 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on December 30, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Christopher Oloo (Guest) on December 29, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on December 18, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on November 29, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on October 23, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on October 14, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rahim (Guest) on October 13, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on September 28, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sultan (Guest) on September 16, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Zakia (Guest) on September 14, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mary Kendi (Guest) on July 23, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Stephen Amollo (Guest) on July 10, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on June 16, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on June 5, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 5, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More