Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza. Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe. Bahati mbaya wakiwa wamejilaza kitandani ili dalali aone adhabu wanayopata, Mzee mwenye mali alirudi ghafla, akauliza, 'Nyie mnafanya nini hapa?' Masikini dalali kwa woga mkubwa akajibu' Tunangoja treni'
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Samuel Omondi (Guest) on October 2, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 28, 2022

😊🀣πŸ”₯

Jaffar (Guest) on September 21, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Hellen Nduta (Guest) on September 18, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Njeru (Guest) on August 28, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on August 27, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on August 27, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Richard Mulwa (Guest) on August 16, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on August 15, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Samson Tibaijuka (Guest) on August 2, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on July 12, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Esther Nyambura (Guest) on June 25, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Ndoto (Guest) on June 21, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nancy Akumu (Guest) on May 3, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Rubea (Guest) on April 4, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Tabitha Okumu (Guest) on March 9, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 16, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on January 12, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on November 24, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on October 28, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Nassar (Guest) on October 22, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Bernard Oduor (Guest) on October 5, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Agnes Njeri (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on September 16, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Maulid (Guest) on August 8, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Vincent Mwangangi (Guest) on August 7, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on August 2, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on July 5, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Nyalandu (Guest) on June 28, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Hawa (Guest) on May 27, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Fatuma (Guest) on April 24, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Stephen Amollo (Guest) on April 17, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Faith Kariuki (Guest) on April 13, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Diana Mallya (Guest) on March 31, 2021

🀣πŸ”₯😊

Sharon Kibiru (Guest) on March 25, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Benjamin Masanja (Guest) on March 18, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Henry Sokoine (Guest) on March 13, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwanaisha (Guest) on March 11, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Omar (Guest) on March 5, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Rehema (Guest) on February 27, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Mchuma (Guest) on February 23, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Patrick Kidata (Guest) on February 4, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Grace Minja (Guest) on January 31, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on January 17, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Esther Nyambura (Guest) on January 15, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joyce Nkya (Guest) on January 2, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Kimaro (Guest) on December 17, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on December 11, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on December 1, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on October 31, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on October 31, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on October 18, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 11, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on October 10, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Zakia (Guest) on October 9, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Kahina (Guest) on October 4, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Mahiga (Guest) on August 25, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Hashim (Guest) on July 15, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwalimu (Guest) on July 6, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Samson Tibaijuka (Guest) on July 6, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

πŸ“– Explore More Articles