Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza. Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe. Bahati mbaya wakiwa wamejilaza kitandani ili dalali aone adhabu wanayopata, Mzee mwenye mali alirudi ghafla, akauliza, 'Nyie mnafanya nini hapa?' Masikini dalali kwa woga mkubwa akajibu' Tunangoja treni'
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Samuel Omondi (Guest) on October 2, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 28, 2022

😊🀣πŸ”₯

Jaffar (Guest) on September 21, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Hellen Nduta (Guest) on September 18, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Njeru (Guest) on August 28, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on August 27, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on August 27, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Richard Mulwa (Guest) on August 16, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on August 15, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Samson Tibaijuka (Guest) on August 2, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on July 12, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Esther Nyambura (Guest) on June 25, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Ndoto (Guest) on June 21, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nancy Akumu (Guest) on May 3, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Rubea (Guest) on April 4, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Tabitha Okumu (Guest) on March 9, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 16, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on January 12, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on November 24, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on October 28, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Nassar (Guest) on October 22, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Bernard Oduor (Guest) on October 5, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Agnes Njeri (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on September 16, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Maulid (Guest) on August 8, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Vincent Mwangangi (Guest) on August 7, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on August 2, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on July 5, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Nyalandu (Guest) on June 28, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Hawa (Guest) on May 27, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Fatuma (Guest) on April 24, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Stephen Amollo (Guest) on April 17, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Faith Kariuki (Guest) on April 13, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Diana Mallya (Guest) on March 31, 2021

🀣πŸ”₯😊

Sharon Kibiru (Guest) on March 25, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Benjamin Masanja (Guest) on March 18, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Henry Sokoine (Guest) on March 13, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwanaisha (Guest) on March 11, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Omar (Guest) on March 5, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Rehema (Guest) on February 27, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Mchuma (Guest) on February 23, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Patrick Kidata (Guest) on February 4, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Grace Minja (Guest) on January 31, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on January 17, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Esther Nyambura (Guest) on January 15, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joyce Nkya (Guest) on January 2, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Kimaro (Guest) on December 17, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on December 11, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on December 1, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on October 31, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on October 31, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on October 18, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 11, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on October 10, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Zakia (Guest) on October 9, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Kahina (Guest) on October 4, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Mahiga (Guest) on August 25, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Hashim (Guest) on July 15, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwalimu (Guest) on July 6, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Samson Tibaijuka (Guest) on July 6, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

πŸ“– Explore More Articles