Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Featured Image

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo simu umenunua Bei gani?

Kwakuwa natoaga sadaka kidogo,na ZAKA ndo sijawahi kutoa,Nikamjibu nimenunua JANA,ELFU 50, akanipa LAKI MOJA,nikanunue mbili,yake na ya mke wake. Sa najaribu kumuuliza Mungu,kwanini kaamua kuniadhibu mbele ya mchungaji bila hata kunionya!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jane Malecela (Guest) on May 15, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on April 29, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on April 14, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nora Lowassa (Guest) on April 5, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Edward Chepkoech (Guest) on April 4, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

James Malima (Guest) on March 28, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on March 27, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

James Kawawa (Guest) on March 21, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Betty Akinyi (Guest) on March 14, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on February 19, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nahida (Guest) on February 15, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Samuel Were (Guest) on February 2, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Stephen Malecela (Guest) on January 29, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Ibrahim (Guest) on January 24, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nancy Akumu (Guest) on January 23, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on January 16, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Hassan (Guest) on January 15, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on January 8, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mwanaidha (Guest) on December 13, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Lowassa (Guest) on November 20, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

James Malima (Guest) on November 6, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on November 6, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on October 16, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kawawa (Guest) on September 28, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Alice Mwikali (Guest) on September 5, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Samuel Omondi (Guest) on August 23, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on August 9, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Charles Mboje (Guest) on July 23, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on July 22, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Salima (Guest) on July 20, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Aoko (Guest) on June 8, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mwanakhamis (Guest) on May 9, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Malela (Guest) on May 7, 2021

🀣πŸ”₯😊

Janet Sumaye (Guest) on March 26, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on March 24, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Chris Okello (Guest) on March 9, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Lucy Wangui (Guest) on March 5, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on January 21, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Simon Kiprono (Guest) on December 27, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Francis Njeru (Guest) on December 25, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Zakia (Guest) on December 16, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Janet Mbithe (Guest) on December 8, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Juma (Guest) on November 2, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Shamim (Guest) on November 1, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Irene Makena (Guest) on October 25, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mariam Kawawa (Guest) on October 25, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Charles Mrope (Guest) on October 21, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

John Mwangi (Guest) on August 31, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Peter Mbise (Guest) on August 25, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Rahim (Guest) on July 28, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Fatuma (Guest) on July 17, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on May 23, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Betty Akinyi (Guest) on May 14, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mwinyi (Guest) on May 1, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Fatuma (Guest) on April 30, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Linda Karimi (Guest) on April 28, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Joseph Kiwanga (Guest) on April 22, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on April 8, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 4, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Jacob Kiplangat (Guest) on March 28, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Related Posts

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

πŸ“– Explore More Articles