Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Mwanaume mmoja alienda kukata miti kwa ajili ya mkaa, bahati mbaya panga likadondokea mtoni, akaanza kulia sana. Malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia. Jamaa akajibu; "Panga langu limedondokea mtoni na ndilo ninalotegemea kuendeshea maisha yangu".

Malaika akazama mtoni na kuibika na panga la DHAHABU na kumuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena na kuibuka na panga la SHABA na kuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena mara hii akaibuka na panga la CHUMA na kuuliza ndio hili?

Jamaa: NDIYO.

Malaika akafurahishwa sana na uaminifu wake hivyo akampa mapanga yote matatu. Jamaa akafurahi sana.

Siku nyingine jamaa alikuwa anatembea na mkewe njiani ghafla mke akadondokea mtoni, jamaa akaanza kulia. Malaika akatokea na kumuuliza: Kwanini unalia?

Jamaa: Mke wangu kadondokea mtoni na nampenda sana.

Malaika akazama mtoni akaibuka na WEMA SEPETU na kuuliza; "huyu ndiye mkeo?"

Jamaa: NDIYO.

Malaika akakasirika sana na kumuuliza: kwa nini umenidanganya?

Jamaa: Nimesema ndiyo kwa sababu ningesema hapana ungezama tena na kuibuka na AUNT EZEKIEL na ningesema hapana tena ungezama na kuibuka na MKE wangu alafu ningesema ndiyo ungenipa wote watatu!

Sasa mimi maskini sina uwezo wa kuhudumia wote hao, ndio maana nikasema NDIYO kwa Wema Sepetu.

*FUNDISHO*
Wanaume huwa hatusemi uongo bila sababu na inakuwa sababu maalumu kwa faida ya wote.

WANAUME WOTE NI WAAMINIFU. Hii ndiyo kauli mbiu yetu.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Mwikali (Guest) on November 12, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on November 7, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Salima (Guest) on October 10, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Ruth Mtangi (Guest) on October 3, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on October 2, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

George Tenga (Guest) on September 13, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on September 4, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Betty Cheruiyot (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on August 24, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Samson Mahiga (Guest) on August 20, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on August 2, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on July 25, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on July 24, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

David Chacha (Guest) on July 5, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on June 26, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Mutua (Guest) on June 25, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Warda (Guest) on June 18, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Aoko (Guest) on June 15, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on June 9, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on May 20, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Maneno (Guest) on May 14, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Mwikali (Guest) on May 5, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nancy Kawawa (Guest) on April 27, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mhina (Guest) on April 26, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Charles Mrope (Guest) on April 25, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Mwakisu (Guest) on April 13, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Irene Akoth (Guest) on April 10, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on April 7, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on March 21, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Francis Mtangi (Guest) on March 19, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Alice Mrema (Guest) on February 22, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on February 3, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lydia Mahiga (Guest) on January 11, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Jackson Makori (Guest) on December 26, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Nora Kidata (Guest) on December 24, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joseph Kitine (Guest) on December 19, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on December 18, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Halimah (Guest) on December 10, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Benjamin Masanja (Guest) on November 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Stephen Kikwete (Guest) on October 26, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on October 23, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on August 2, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sultan (Guest) on July 30, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Peter Mwambui (Guest) on July 26, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joyce Aoko (Guest) on June 17, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Thomas Mtaki (Guest) on June 13, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on May 31, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on April 10, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 28, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on March 16, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nyota (Guest) on February 17, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kidata (Guest) on February 12, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Elizabeth Mtei (Guest) on February 9, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on February 1, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Sarah Achieng (Guest) on January 21, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Paul Ndomba (Guest) on January 1, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lydia Mutheu (Guest) on December 21, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Margaret Mahiga (Guest) on December 19, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on December 15, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Related Posts

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

πŸ“– Explore More Articles