Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Margaret Anyango (Guest) on January 29, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on January 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on January 5, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Anthony Kariuki (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on November 25, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on November 21, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on November 16, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Agnes Sumaye (Guest) on October 27, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Patrick Akech (Guest) on October 23, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on October 20, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Samson Mahiga (Guest) on October 9, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sultan (Guest) on October 8, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Andrew Mahiga (Guest) on October 2, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on September 18, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwanaisha (Guest) on September 16, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Alice Jebet (Guest) on August 3, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 25, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Kenneth Murithi (Guest) on June 27, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Jamal (Guest) on April 8, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 6, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on March 29, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Issack (Guest) on March 10, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Robert Ndunguru (Guest) on February 26, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Betty Akinyi (Guest) on January 25, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Were (Guest) on January 18, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rubea (Guest) on January 14, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Betty Akinyi (Guest) on December 14, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Esther Nyambura (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

John Malisa (Guest) on November 26, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Sarah Achieng (Guest) on October 5, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on October 1, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on August 25, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Carol Nyakio (Guest) on July 13, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Kahina (Guest) on June 13, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Philip Nyaga (Guest) on June 2, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Edward Chepkoech (Guest) on May 28, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Betty Cheruiyot (Guest) on May 16, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Victor Malima (Guest) on March 20, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mwinyi (Guest) on February 22, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Fadhila (Guest) on February 4, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Christopher Oloo (Guest) on January 26, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on January 1, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwanais (Guest) on December 21, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Fredrick Mutiso (Guest) on December 4, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on November 28, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Rose Kiwanga (Guest) on November 14, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Safiya (Guest) on November 6, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mariam Hassan (Guest) on November 3, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on October 30, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Catherine Mkumbo (Guest) on October 29, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on October 29, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Joseph Kitine (Guest) on October 15, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on September 21, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Karani (Guest) on August 14, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Fadhili (Guest) on July 13, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Grace Wairimu (Guest) on June 30, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Violet Mumo (Guest) on June 27, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on May 29, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Musyoka (Guest) on April 15, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Latifa (Guest) on April 8, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About