Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Featured Image

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini unasema hivyo?

Mtoto: Nina akili…

Basi mwalimu akamueleza mkuu wa shule na mkuu kaitisha interview kwa dogo. Maswali ni haya….

Mwalimu: Kwenye ndege kuna matofali 20 tukitoa moja tukalidondosha chini yatabaki mangapi?

Dogo: Yatabaki 19.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka tembo kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamuweka tembo kisha unafunga.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka nyani kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamtoa tembo ulemuweka..unamueka nyani kisha unafunga friji.

Mwalimu: Kuna sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa simba, wanyama wote wameenda kasoro mmoja. Ni nani na kwa nini?

Dogo: Ni nyani kwa sababu tumemuweka kwenye friji.

Mwalimu: Bibi kizee amevuka mto unaokuwaga na mamba na viboko wakali, aliwezaje?

Dogo: Aliweza kwani mamba na viboko nao walienda kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa simba.

Mwalimu: Ingawa bibi kizee alivuka mto, baadae alikufa. Unadhani ni kwanini alikufa?

Dogo: Alidondokewa na lile tofali tulotoa kwenye ndege na kutupa chini.

Mwalimu mkuu: Huyu dogo akasome chuo kikuu….
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sharon Kibiru (Guest) on July 15, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

George Ndungu (Guest) on June 20, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Sarah Mbise (Guest) on June 19, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on June 1, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Halima (Guest) on May 26, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Jane Muthoni (Guest) on May 24, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Peter Mwambui (Guest) on May 22, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on May 17, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on May 4, 2024

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on May 2, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on April 2, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on March 27, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Violet Mumo (Guest) on February 19, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Kiza (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Issa (Guest) on February 8, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on January 26, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Betty Cheruiyot (Guest) on January 5, 2024

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Guest (Guest) on January 16, 2026

NDIO MNAJUA SANA 2

Mzee (Guest) on December 21, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Alice Wanjiru (Guest) on December 20, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Maida (Guest) on November 16, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Jaffar (Guest) on October 15, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Raha (Guest) on September 28, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Faith Kariuki (Guest) on September 27, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on September 21, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

David Sokoine (Guest) on September 10, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jamal (Guest) on September 10, 2023

Asante Ackyshine

Mwanaidi (Guest) on August 28, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joy Wacera (Guest) on July 17, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on July 15, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Farida (Guest) on June 27, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Raphael Okoth (Guest) on June 23, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on June 9, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jane Malecela (Guest) on May 5, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 11, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Kibwana (Guest) on April 8, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

John Lissu (Guest) on March 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joy Wacera (Guest) on March 28, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Patrick Kidata (Guest) on March 16, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on March 5, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Elijah Mutua (Guest) on February 8, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on February 6, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Benjamin Masanja (Guest) on January 28, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on January 28, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on January 19, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 27, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on December 20, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Janet Sumari (Guest) on December 11, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Benjamin Kibicho (Guest) on November 29, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on October 4, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Grace Mushi (Guest) on September 18, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Margaret Mahiga (Guest) on September 1, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on August 15, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Neema (Guest) on August 12, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Robert Ndunguru (Guest) on July 31, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joseph Njoroge (Guest) on July 18, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Vincent Mwangangi (Guest) on July 6, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mwanakhamis (Guest) on July 3, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Related Posts

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Binti: Hallow mpenzi, Mambo