Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/list.ackyshine.com/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Featured Image

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasimama katikati ya Gari-Akasema; "Jamani Naomba Aliyeniibia Pesa yangu Arudishe Haraka,
Tena Fasta kabla Sijafanya Tukio kama Nililofanya 1977"
Abiria kuskia hivyo wakaogopa.
Ikabidi Mwizi Ajitokeze,
Akarudisha Pesa na Kuomba Msamaha! Mtu Mmoja akauliza,
Mzee,
Kwani 1977 Ulifanya nn?
Si nilienda kwa Miguu mpaka Nyumbani!
Uscheke Peke Yako, wa2mie na wengine ili nao wacheke!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Yahya (Guest) on July 24, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on July 5, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

David Musyoka (Guest) on July 5, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

John Mwangi (Guest) on June 5, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on May 26, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joseph Kawawa (Guest) on May 14, 2024

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Wambura (Guest) on May 11, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mwanaidha (Guest) on February 8, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on January 16, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elizabeth Mtei (Guest) on January 6, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Ochieng (Guest) on December 31, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on December 9, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

David Kawawa (Guest) on November 28, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Diana Mallya (Guest) on November 27, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Kawawa (Guest) on November 25, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Peter Mugendi (Guest) on November 25, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Raha (Guest) on November 9, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lucy Wangui (Guest) on October 28, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Victor Kamau (Guest) on September 7, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 27, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Victor Kamau (Guest) on August 9, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Monica Nyalandu (Guest) on July 28, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on June 20, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Rahma (Guest) on June 11, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

James Kimani (Guest) on May 24, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on May 15, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Malima (Guest) on May 5, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Baraka (Guest) on May 1, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Christopher Oloo (Guest) on March 29, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 22, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Francis Mrope (Guest) on March 22, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Selemani (Guest) on March 22, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

David Kawawa (Guest) on March 14, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on January 30, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Makame (Guest) on January 28, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on January 25, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on January 9, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Mwambui (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Umi (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Sarah Karani (Guest) on January 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Nyalandu (Guest) on December 15, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Zainab (Guest) on November 21, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 12, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

George Wanjala (Guest) on November 10, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Lucy Mushi (Guest) on November 2, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on July 29, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

George Ndungu (Guest) on July 25, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Robert Ndunguru (Guest) on July 24, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on July 22, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Makame (Guest) on July 16, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Wanjala (Guest) on July 1, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Lucy Kimotho (Guest) on May 5, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Moses Kipkemboi (Guest) on April 25, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mwachumu (Guest) on March 31, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on March 21, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nuru (Guest) on March 18, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Benjamin Kibicho (Guest) on February 15, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on February 7, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on January 16, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Related Posts

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

πŸ“– Explore More Articles